Walikuambia wana shida na mbingu?Dah nyi jamaa wa makatuni mbinguni mtapasikia tu...View attachment 1511598
Hiyo katuni imebeba ujumbe mzito sanaHao jamaa hua ni noma sana,ile siku pale ikulu Mayalla anaambiwa maana yake ni njaa,mzee baba alisema hua anachorwa kikatuni mpk anaenda kujiangalia kwny kioo kama kweli kichwa chake kimekaa vile wanavyomchora,akasema baadae hua nasema tu hiiiiiiiiiiiiiiii ndio uhuru wa uchoraji huo.
Inapaswa iwezekane kwa Lissu kufanya kampeni akiwa Ubelgiji, ashuke tu kuapishwa hapa.Dah nyi jamaa wa makatuni mbinguni mtapasikia tu...View attachment 1511598