Wana jf......mali zetu zinatoweka kwa kiwango cha kutisha....tembo wanateketea, twiga wanapandishwa ndege sijui hali itakuwaje baada ya miaka kumi ijayo??????
Wito wangu, wenzetu wachina meno ya tembo na nyara nyinginezo za taifa ambazo ziko kwenye hifadhi yetu ni zaidi ya vijisenti tunavyowapa kujenga barabara....... Huo ndio urithi wetu, hiyo ndio amana yetu inakuwaje serikali inawapa fursa wageni kufika huko hifadhini wakiwa peke yao eti wanajenga barabara.....????????? Mnajidanganya, wenzenu mchana wanajenga barabara usiku wanavuna nyara zetuuuuuuuuu....
Viongozi amkeni jamaniiiiiiiiiiii.......
Msiwape barabara za hukooooooooooooooo.... Mwenye maskio na asikie
Wito wangu, wenzetu wachina meno ya tembo na nyara nyinginezo za taifa ambazo ziko kwenye hifadhi yetu ni zaidi ya vijisenti tunavyowapa kujenga barabara....... Huo ndio urithi wetu, hiyo ndio amana yetu inakuwaje serikali inawapa fursa wageni kufika huko hifadhini wakiwa peke yao eti wanajenga barabara.....????????? Mnajidanganya, wenzenu mchana wanajenga barabara usiku wanavuna nyara zetuuuuuuuuu....
Viongozi amkeni jamaniiiiiiiiiiii.......
Msiwape barabara za hukooooooooooooooo.... Mwenye maskio na asikie