Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
serikali ya china yataka kuwekeza katika umeme kilimo miundo mbinu na usafiri wa anga nchini.
Wamesema wamekuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina rasilimali nyingi ukilinganisha na nchi nyingine za afrika,
hayo yamesemwa na mshauri mkuu wa wizara ya mambo ya nje wa China alipokuwa mjini dar es salaam na pia wameisifia mbuga ya serengeti wakaahidi kuwa wataitembelea kabla ya kuondoka:
source:mwananchi.co.tz
Wamesema wamekuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina rasilimali nyingi ukilinganisha na nchi nyingine za afrika,
hayo yamesemwa na mshauri mkuu wa wizara ya mambo ya nje wa China alipokuwa mjini dar es salaam na pia wameisifia mbuga ya serengeti wakaahidi kuwa wataitembelea kabla ya kuondoka:
source:mwananchi.co.tz