Wachina wanatuibia mchana kweupe

Kanguyeyejr

Senior Member
Jan 27, 2018
105
91
Amani iwe nanyi, nawaomba TRA wawamulike wachina kwani wamekuwa wakiibia serikali mchana kweupe. Wachina hawa hupità mitaani na kufunga machine za kamari kwenye mabaa na hata frem za kawaida na kisha kuja kukusanya pesa zinazopatikana.

Wachina hawa hawalipi kodi na sidhani km wanavibali vya kuishi nchini. Ikumbukwe mh rais magufuli alikatanza kamari aina zote kuchezwa mitaani hasa muda wa kazi. Ikumbukwe pia pool table zilikatazwa kuchezwa asubuhi lakini machine hizi za kamari zinafanya kazi muda wote kuanzia asubuhi mpaka ucku.

Inakera kuona wachina hawa wamegeuza nchi hii haina mwenyewe(shamba la bibi) na wapo juu ya sheria na hawalipi kodi wanaishi kiujanjaujanja na kutudharau. Naomba uhamiaji na tra wafatilie wachina hawa ambao wanasambaa kwa kasi kubwa huku wakiwapachika mimba Dada zetu.
 
Mkienda Nchi za watu mkibaguliwa mnaanza kuweweseka. Acha roho za kibaguzi.huo n ubaguzi na ushamba. Wachina wamesha excel hawazuilik tena.

Idadi ya wachina waliopo Tanzania ni ndogo sana kufananisha na watanzania wanaoishi China. gwanzuu kuna mama ntilie wa kitanzania bado matax drivers. Kuna watz zaidi ya 1000 wapo gwanzuu..wanaofanya kazi, wanafunzi pamoja biashara. Wachina n ndugu zetu. Tusiwabague kabsa..na huo n mji mmoja tu wa gwanzuu tu...!! To me mchina kwa sasa n mzuri to tz than wazungu.

Na good enough tz na China tupo vizuri sana. Ukisema unatoka tz safi sana.. Acheni ubaguzi
 
Wezi sana hao jamaa na wanakuja kwa ujanja ujnja wakishazoea wanakua wababe kweli uwaambii kitu,mchina anakuja Ta hajui kingereza hajui lugha nyingne zaid ya Kichinise huyu anakuja kifanya kazi gan tena wa aina hii wamejaa kwenye makampuni ya ujenzi wa barabara hana taaluma yoyote,hana ujuzi wowote na anakua hana work permit yaan anakua na pass tu ya kusafiria hii ndo Tz na uhamiaji wanakua na taarifa nao ila hawachukui hatua zozote zile
 
Wezi sana hao jamaa na wanakuja kwa ujanja ujnja wakishazoea wanakua wababe kweli uwaambii kitu,mchina anakuja Ta hajui kingereza hajui lugha nyingne zaid ya Kichinise huyu anakuja kifanya kazi gan tena wa aina hii wamejaa kwenye makampuni ya ujenzi wa barabara hana taaluma yoyote,hana ujuzi wowote na anakua hana work permit yaan anakua na pass tu ya kusafiria hii ndo Tz na uhamiaji wanakua na taarifa nao ila hawachukui hatua zozote zile
Na nyie muende mkawaibia kwao China. Badala ya kutumia fursa ya kuwepo wachina nchini unaleta ubaguzi. Tanzania hawezi kuendelea peke yake.. Inahitaji wahamiaji regardless legal or illegal
 
Wezi sana hao jamaa na wanakuja kwa ujanja ujnja wakishazoea wanakua wababe kweli uwaambii kitu,mchina anakuja Ta hajui kingereza hajui lugha nyingne zaid ya Kichinise huyu anakuja kifanya kazi gan tena wa aina hii wamejaa kwenye makampuni ya ujenzi wa barabara hana taaluma yoyote,hana ujuzi wowote na anakua hana work permit yaan anakua na pass tu ya kusafiria hii ndo Tz na uhamiaji wanakua na taarifa nao ila hawachukui hatua zozote zile
Kwako we ujuzi n kujua English... Poor you
 
Mkienda Nchi za watu mkibaguliwa mnaanza kuweweseka. Acha roho za kibaguzi.huo n ubaguzi na ushamba. Wachina wamesha excel hawazuilik tena.
Acha uzezeta, wafuate tararibu na kulipa kodi, ni nchi gani unaweza kwenda na kiweka kamar zako bila kufuata taratibu, kwa taarifa yako hakuna nchi inajali na kuchezewa na wageni kama Tanzania,
 
Na nyie muende mkawaibia kwao China. Badala ya kutumia fursa ya kuwepo wachina nchini unaleta ubaguzi. Tanzania hawezi kuendelea peke yake.. Inahitaji wahamiaji regardless legal or illegal
We unamatatizo ya ubongo, bila shaka wewe ni mmoja wao
 
Hapo kwenye kupachikwa mimba dada zenu naona ndio panakuuma zaidi
 
fanya kazi kijana acha majungu..hizo mashine haziwezi kuingia bila ya kulipiwa kodi
 
Hahaha mnawaita wawekezaji halafu wakianza kuwekeza mnawaita wezi. Rais hawezi kuzuia kamali ipo kisheria. Saa za kazi kwa watumishi wa umma ni tofauti na hao wachina ambao wao ni wawekezaji. Na istoshe wao sio wacheza kamali asubuhi mpaka usiku, wao niwakusanyaji mapato tu.
Kuhusu mimba za wawekezaji sio tatizo maana sheria haikatazi hilo hata wewe ukiweza kuwapa mimba wawekezaji ruksa, ila usiwabake.
 
Hahaha mnawaita wawekezaji halafu wakianza kuwekeza mnawaita wezi. Rais hawezi kuzuia kamali ipo kisheria. Saa za kazi kwa watumishi wa umma ni tofauti na hao wachina ambao wao ni wawekezaji. Na istoshe wao sio wacheza kamali asubuhi mpaka usiku, wao niwakusanyaji mapato tu.
Kuhusu mimba za wawekezaji sio tatizo maana sheria haikatazi hilo hata wewe ukiweza kuwapa mimba wawekezaji ruksa, ila usiwabake.
Safi
 
Acha uzezeta, wafuate tararibu na kulipa kodi, ni nchi gani unaweza kwenda na kiweka kamar zako bila kufuata taratibu, kwa taarifa yako hakuna nchi inajali na kuchezewa na wageni kama Tanzania,
Acha akili za kimaskini wewe. Hawalipi Kodi we Tra. Acheni chuki..pigeni kaz..tumia fursa ya wachina kuwepo Tanzania.
 
Amani iwe nanyi, nawaomba TRA wawamulike wachina kwani wamekuwa wakiibia serikali mchana kweupe. Wachina hawa hupità mitaani na kufunga machine za kamari kwenye mabaa na hata frem za kawaida na kisha kuja kukusanya pesa zinazopatikana.

Wachina hawa hawalipi kodi na sidhani km wanavibali vya kuishi nchini. Ikumbukwe mh rais magufuli alikatanza kamari aina zote kuchezwa mitaani hasa muda wa kazi. Ikumbukwe pia pool table zilikatazwa kuchezwa asubuhi lakini machine hizi za kamari zinafanya kazi muda wote kuanzia asubuhi mpaka ucku.

Inakera kuona wachina hawa wamegeuza nchi hii haina mwenyewe(shamba la bibi) na wapo juu ya sheria na hawalipi kodi wanaishi kiujanjaujanja na kutudharau. Naomba uhamiaji na tra wafatilie wachina hawa ambao wanasambaa kwa kasi kubwa huku wakiwapachika mimba Dada zetu.

Kama unawaonea wivu dada zako, zaa wewe.
 
Back
Top Bottom