shaver
JF-Expert Member
- Sep 21, 2021
- 240
- 465
Kwahiyo wewe ulivyofundishwa ni kwamba mtu akiongeaa ukweli basi ni amekosa maslai kwenye hilo jambo analoliongelea ukweli wake..?mleta taarifa hana kosa lolote na wala sijasema kuwa anakosa. mimi nimemuuliza swali tu full stop.