Wachina Wana teknolojia ya upandikizaji mawingu, tuwatumie kuondoa tatizo la maji na ukame nchini

Mwl Athumani Ramadhani

JF-Expert Member
Sep 10, 2022
1,282
2,507
Ndugu zangu

Poleni kwa tatizo la maji na umeme lililopo nchini kwa sasa.

Wachina ni marafiki ZETU wa siku nyingi tangu enzi za baba wa taifa.

Tuwatumie KWENYE hii teknolojia yao ya cloud seeding tuanze KWA mikoa yenye changamoto ya maji kama Dar es salaam baadae ienee Tanzania nzima.

Wananchi wa mikoa husika watangaziwe Kwamba wakinge maji ya kutosha ili kujikimu KWA siku kadhaa kutokana na mvua zinzonyesha KWA teknolojia iliyopo!

Itasaidia Sana kutatua KWA kiasi kikubwa Sana tatizo la maji kuliko kusubiria visima vya maji na mabwawa yajae.

Wataalamu jaribuni kufikiria hili kama suluhisho la ukame nchini!

Mwenye mawazo Mbadala anakaribishwa kuboresha zaidi.

Asanteni KWA kusoma

Mungu ibariki TANZANIA nchi yangu.
 
Ni mbaya sana hiyo telnolojia inasemekana inaichanganya dunia kimfumo kwenye majira.

leo usishangae kusikia jangwa la sahara ikanyesha mvua na kuleta mafuriko sababu azikutegemewa
 
Me naona hapa tatizo sio MAJI, Tatizo ni miundombinu ya kuvuna na Kusambaza hayo maji kwa kila mwanannchi, SERIKALI ingewekeza bajeti kubwa na nguvu huko (maji, umeme, afya na elimu)
 
Mbona nasikiaga hata Tanzania kuna watu aka wachawi wanaweza kuleta mvua?.

Wachawi na waganga kwenye vikao vyao siwangekubaliana tu kuileta mvua hata mwezi mfululizo ipige..

Hapo ndo utajua story za kichawi ni story za kusadikika zinazoaminiwa na wavuvi wa kufikiri.
 
Ndugu zangu

Poleni kwa tatizo la maji na umeme lililopo nchini kwa sasa.

Wachina ni marafiki ZETU wa siku nyingi tangu enzi za baba wa taifa.

Tuwatumie KWENYE hii teknolojia yao ya cloud seeding tuanze KWA mikoa yenye changamoto ya maji kama Dar es salaam baadae ienee Tanzania nzima.

Wananchi wa mikoa husika watangaziwe Kwamba wakinge maji ya kutosha ili kujikimu KWA siku kadhaa kutokana na mvua zinzonyesha KWA teknolojia iliyopo!

Itasaidia Sana kutatua KWA kiasi kikubwa Sana tatizo la maji kuliko kusubiria visima vya maji na mabwawa yajae.

Wataalamu jaribuni kufikiria hili kama suluhisho la ukame nchini!

Mwenye mawazo Mbadala anakaribishwa kuboresha zaidi.

Asanteni KWA kusoma

Mungu ibariki TANZANIA nchi yangu.
Tekinolojia hii haijaanzishwa na wachina kwani marekani wanayo tangu miaka ya sitini ila haitumiki.
 
Shukuru sana Mungu mpaka leo hii Hayajakukuta ndomana unadhani uchawi ni story tu.
Mungu gani Yahweh, Allah, Baha'i, Brahma au yupi?

Hayajanikuta na hayajawahi kumkuta yeyote zaidi ya story za kusadikika zinazoaminiwa na wajinga.
 
Mungu gani Yahweh, Allah, Baha'i, Brahma au yupi?

Hayajanikuta na hayajawahi kumkuta yeyote zaidi ya story za kusadikika zinazoaminiwa na wajinga.
Acha uchawi wewe, acha kuharibu maisha ya watu hapa unajaribu danganya watu kwmb uchawi haupo ili uwaloge vzuri, wewe n mchawi upo humu kwa mission maalum.
 
Back
Top Bottom