Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Mar 21, 2012
477
120
Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

Dereva Yassin Twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda Bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.
 
Aisee sie tunawapapatikia sana hawa ngozi nyeupe!! Ndio maana nao wanatunyanyasa wakiwa kwao na hata huku kwetu!! Ndio maana mie simfagilii mzungu kabisa!
 
Hivi wachina wako wangapi nchini hadi watutawale!???????
Tuwarudi hawa hata kwa manati. Wamesha jua bei ya mahakimu, huko hamna haki kwa mzawa
 
Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

Dereva yassin twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.

Kila kazi ina kanuzi zake, msaada upi? walikuwa hatarini kupoteza maisha? au walikuwa wameharibikiwa tu na gari? unaweza kuona unatoa msaada kumbe unahatarisha zaidi usalama wao. mfano kuwavuta na wao wamo ndani ya gari linalovutwa, kama kafanya hivyo anastahiki kichapo, kwani alikuwa anahatarisha maisha ya hao wanafuzni zaidi ya kuwasaidia.

Huyo dereva ni punguani avute basi na kuna wanafunzi ndani? huyo alistahiki kulimbokwa.
 
Hivi wachina wako wangapi nchini hadi watutawale!???????
Tuwarudi hawa hata kwa manati. Wamesha jua bei ya mahakimu, huko hamna haki kwa mzawa

Jiulize ilikuwaje askari wachache tu waliweza kuswaga watumwa kibao toka Kigoma mpaka Bagamoyo .... wakipita sehemu nyingi tu zenye wazawa wengi (mfano Tabora, Dodoma, Morogoro etc.) .... hakuna mtu alithubutu kusaidia kuwatoa utumwani ndugu zetu! .... Inasikitisha, lakini Waafrika Ndivyo Tulivyo.
 
Nyie manotetea mnaona huy dereva alikuwa anafanya la maana kuvuta basi liliharibika lenye wanafunzi ndani? amma kweli Watanzania bado tupo nyuma sana kuhusu mambo ya usalama.
 
Kama unaijua hiyo barabara huyo dereva alifanya kitendo cha uungwana kikubwa ila polisi wetu are for sale
 
kijana kabla ya kwenda kufanya kazi kwa wahindi/wachina/waarabu inabidi uchukue training ya self defence au judo lasiivo yatakayo kukuta sauri yako! ohooo! Unless uwe umeaga kwenu na kwenu kwenyewe sumbawanga/tanga/pemba/ukingani hapo mchina akikupiga mkono unanasa mpaka akuombe msamaha mwenyewe. chezea african technology!!!!
 
Kila kazi ina kanuzi zake, msaada upi? walikuwa hatarini kupoteza maisha? au walikuwa wameharibikiwa tu na gari? unaweza kuona unatoa msaada kumbe unahatarisha zaidi usalama wao. mfano kuwavuta na wao wamo ndani ya gari linalovutwa, kama kafanya hivyo anastahiki kichapo, kwani alikuwa anahatarisha maisha ya hao wanafuzni zaidi ya kuwasaidia.

Huyo dereva ni punguani avute basi na kuna wanafunzi ndani? huyo alistahiki kulimbokwa.

Zomba nilishakuambia huo upolisi wako utakucost wewe kuwa shushu tu lakini you are in the wrong move mkuu. Jamaa amedhalilishwa kwa ajili ya kuwaondoa watoto wale waliokuwa wanaenda kwenye umitashumta ili wasivamiwa na majambazi ile barabara nadhani unawajua. Lakini kwa kumvunja mkono na kumtengua nyonga sio ubinadamu we will fight chico company and we will build chinese phobia kitaeleweka tu
 
Zomba nilishakuambia huo upolisi wako utakucost wewe kuwa shushu tu lakini you are in the wrong move mkuu. Jamaa amedhalilishwa kwa ajili ya kuwaondoa watoto wale waliokuwa wanaenda kwenye umitashumta ili wasivamiwa na majambazi ile barabara nadhani unawajua. Lakini kwa kumvunja mkono na kumtengua nyonga sio ubinadamu we will fight chico company and we will build chinese phobia kitaeleweka tu

Hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?
 
Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

Dereva yassin twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.

Asante kwa taarifa.

Ningependa kurudia tena, tunapoweka mada hapa tuwe tunajaribu kutoa picha kamili, lakini kama ulivyoleta mada kama mipasho kana kwamba tunakijua unachozungumzia ujumbe wako haujakamilika, nikama katika english structure unapoletewa sentence isiyobeba subject and predicate, na hivyo kuwekwa katika kundi la "flag."

Kwa hiyo naweza kusema ujumbe ulioleta sijauelewa, ni flag, samahani kwa hillo. Unapoleta ujumbe jaribu kujibu maswali yale muhimu matano, hata kama yote huna walao matatu yanaweza kusaidia wasomaji kuelewa, lakini ilivyo hapa nashindwa nichangie nini kwani sijuia undani wa habari hiyo kwa vile imeelea hewani tu.
 
hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?

ala! Kumbe kosa la dereva!
 
Kama unaijua hiyo barabara huyo dereva alifanya kitendo cha uungwana kikubwa ila polisi wetu are for sale

Hakuna cha barabara wala njia, Kafanya makosa kuvuta gari yenye wanafunzi ndani. Usitetete ujinga, madhara yake yangeweza kuwa makubwa zaidi. ya kuwawacha hapo na kwenda kuwaombea msaada unaostahili. Tanzania hii huwezi kwenda Kilomita 20 bila kukutana na kijiji kama hakuna hifadhi ya serikali. Angekwena hata kambini kwao kuwaombea usafiri mwngine badala ya kujidai uhodari wa kuwavuta.

Sijui aliviona videmu vya seko ndio vikamzuzuwa. maana ushasema Umitashumta lazima vilikuwepo vyenye T shirt zinazoonyesha ramani ya nido, akazuzuka.
 
Hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?
Kwa taarifa yako CCK wakichukua nchI usajili wakada zote unaanza upya matoyoyo kama nyie mnao walinda wawekezaji tunafukuza
 
Back
Top Bottom