mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Wana Jamvi.
Wachina ukiwaangalia kwa undani utadhani ni watu wazuri sana lakini huko nje ni wabaya zaidi. Wamekuja tanzania wakakuta fursa nyingi kwani tulikuwa tumezubaa sana kiuchumi.Mwanzo kabisa walianza vizuri kwa kuchangamkia tenda za kuleta vitu origino, baada ya biashara kunoga sasa wameamua kuaribu familia zetu za kitanzania kiuchumi , kijamii na kiutamaduni.
KIUCHUMI:
Walipofika Tanzania walikuta wakinana mama wanajishonea chupi za vitenge au kitambaa laini cha kotoni , baadaye nao wakaanza kutengeza zao wakichanganganya na polyster kwa asilimia 20% baada ya kunogewa na biashara wakatengeneza nyloni ambayo kwa asilimia 100% hutengeneza virus ambazo zikiwa sugu zinaleta UTI, hapo ndipo wanandoa huanza kutumiiana kuenezana magonjwa kutoka nje ya mausioano, kama vile, nje ya ndoa, nje ya mpezi wako wa kidole na pete. Mausiano mengi yamevunjika kumbe chanzo ni chupi za kichina zenye 100% Nyloni aau inaitwa mtambo wa fungusi. Zamani wakati mwingine hawakuitaji chupi hizi pamoja skini tight bali zile nguo kaniki za kufunga na uzi laini , huku ukitegeshea kamba ya kujuta wakati wa kuvua.
KIJAMII:
Wachina wametengezeza vitu mfano wa uume ambao wadada wengi huutumia kujiudumia, jambo hili ni baya sana kwani inaleta usugu wa kujiamini kuwa bila mume unaweza kuishi kwa hisia tu, hii uwafanya wadada hasa wenye pesa kuwa na jeuri mwisho wa siku hujikuta wamezeeka au kupitisha umri baadaye kujilaumu kwa kitendo kile , kwani wengi wanaharibika kwa sabababu hawajipimii shughuli hivyo akikutana na mwanaume huisi ni lege lege kumbe yeye ndiye amejiharibu kwa kuponda ponda huko ndani.
KIUTAMADUNI; katika tamaduni zetu mwanamke huwa ana haiba ya kuvua pichu, lakini mchina kaharibu eti anatengeneza kitu kinaitwa bikini, bikini zina madhara mengi , kwanza bikini kufuatana na kuzama ndani sana humfanya mwanamke kila mara kuwa na hisia za kimapenzi, pili ni mbaya kwani mwanaume badala ya kuangaika kutoa vazi liloenea yeye uvuta tu kama vioo vya landrover 109, yaani ni kuvuta pembeni na kuanza kusherekea, wakati mwanaume anapenda sana kuangaika kwani kunaongeza munkali.
Wakina baba, wakina mama, wakina dada zikataeni pichu za nyloni nunu kotoni 100% muepuke ugomvi utokanao na fangas na UTI.
Wachina ukiwaangalia kwa undani utadhani ni watu wazuri sana lakini huko nje ni wabaya zaidi. Wamekuja tanzania wakakuta fursa nyingi kwani tulikuwa tumezubaa sana kiuchumi.Mwanzo kabisa walianza vizuri kwa kuchangamkia tenda za kuleta vitu origino, baada ya biashara kunoga sasa wameamua kuaribu familia zetu za kitanzania kiuchumi , kijamii na kiutamaduni.
KIUCHUMI:
Walipofika Tanzania walikuta wakinana mama wanajishonea chupi za vitenge au kitambaa laini cha kotoni , baadaye nao wakaanza kutengeza zao wakichanganganya na polyster kwa asilimia 20% baada ya kunogewa na biashara wakatengeneza nyloni ambayo kwa asilimia 100% hutengeneza virus ambazo zikiwa sugu zinaleta UTI, hapo ndipo wanandoa huanza kutumiiana kuenezana magonjwa kutoka nje ya mausioano, kama vile, nje ya ndoa, nje ya mpezi wako wa kidole na pete. Mausiano mengi yamevunjika kumbe chanzo ni chupi za kichina zenye 100% Nyloni aau inaitwa mtambo wa fungusi. Zamani wakati mwingine hawakuitaji chupi hizi pamoja skini tight bali zile nguo kaniki za kufunga na uzi laini , huku ukitegeshea kamba ya kujuta wakati wa kuvua.
KIJAMII:
Wachina wametengezeza vitu mfano wa uume ambao wadada wengi huutumia kujiudumia, jambo hili ni baya sana kwani inaleta usugu wa kujiamini kuwa bila mume unaweza kuishi kwa hisia tu, hii uwafanya wadada hasa wenye pesa kuwa na jeuri mwisho wa siku hujikuta wamezeeka au kupitisha umri baadaye kujilaumu kwa kitendo kile , kwani wengi wanaharibika kwa sabababu hawajipimii shughuli hivyo akikutana na mwanaume huisi ni lege lege kumbe yeye ndiye amejiharibu kwa kuponda ponda huko ndani.
KIUTAMADUNI; katika tamaduni zetu mwanamke huwa ana haiba ya kuvua pichu, lakini mchina kaharibu eti anatengeneza kitu kinaitwa bikini, bikini zina madhara mengi , kwanza bikini kufuatana na kuzama ndani sana humfanya mwanamke kila mara kuwa na hisia za kimapenzi, pili ni mbaya kwani mwanaume badala ya kuangaika kutoa vazi liloenea yeye uvuta tu kama vioo vya landrover 109, yaani ni kuvuta pembeni na kuanza kusherekea, wakati mwanaume anapenda sana kuangaika kwani kunaongeza munkali.
Wakina baba, wakina mama, wakina dada zikataeni pichu za nyloni nunu kotoni 100% muepuke ugomvi utokanao na fangas na UTI.