😂😂😂Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Sisi tunaheshimu Mamlaka zetu lakini wao Wachina wanaziona Dhaifu kwa sababu ya Rushwa ndiyo maana hawaogopi ku take chance!!Kweli aisee yaani jamaa wanatoka Asia wanakuja kupiga hela sisi tumelala. Jiulize kwao wanaweza kutengeneza kinywaji fake? Hapa kwetu wameweza tuwape kongole tuu maana hatuna akili hii.
Vipi mkuu?Aisee!
Ningetamani kabla ya kuhukumiwa walazimishwe hiyo technolojia wawafundishe hata sido isambae kwa wingi ili watu wajiajiri kihalali kwenye kutengeneza diamond na kitokoWazee wa kugandamizia.. Mmarekani anamgwaya kwenye hiyo fani
🤣Naamuru hao wachina wafumuliwe marinda yao mara nne kwa siku kwa miaka 12 mfululizo.
Tumechoka kuona wangese kama hawa wakituharibia biashara.
ExactlyChupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Hukwepi hawa mafala walikua wanacopy mpaka maji ya kunywa ya jero unakunywa maji machungu mara yana harufu hawa tabu sanaPoleni watumiaji, sijui kwenye juices pia tumepona ama copies kama kawaida😂😂 wachina wana roho mbaya hawa, wanajali maslahi yao tu afya mbele kwa mbele
Tumia sheria ya kwao. Nyongelea mbali. Hawa, wahindi na wazungu wanatudharau na kutuchukia lakini bado tunawapa nafasi kuja kututukana. Wanyonge hata kwa kipigo haraka. We are tired of these racist leeches from AsiaKama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Nikutoe wasi wasi Mkuu hiyo ni ile OG kabisa, imetengenezwa kukusahaulisha Shida za dunia hiiKuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hawa wakichunguzwa vizuri watakuwa na kadi za chademaWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.