FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,830
- 109,111
Thanks Invisible
Kuna baadhi ya watu ndani ya serikali hii na nchi bado wanadhani Tanzania ya sasa bado kama ile ya miaka ya 1990's ambapo Wachina na Wasia walikuwa wanavuna Meno ya Tembo na vipusa vingine kama mchicha shambani.
Hawataki kujifunza na kubadilika kulingana na mazingira kama baadhi ya watu ninaowafahamu walioosha biashara zao na kuwa ndani ya sheria.
Kuna umuhimu mkubwa wa kupitisha sheria ya kunyongwa pindi mtu yeyote atapatikana na hatia ya kuwa na nyara za serikali bila idhini kisheria, otherwise, tutaendelea kuwa na habari kama hizi ambazo hata zikipatikana haziwezi kuwarudishia Tembo uzima tena.
Bora kuzuia kuliko kukamata nyara za serikali.
Na hao waliowashika walikuwa wa Serikali ya chadema?