Wanyongwe hadharani,
Hii operesheni tokomeza irudi tu tena kwa nguvu zaidi
Mimi mwenyewe nimesikia hii habari kutoka vyanzo ninavyoviamini sana
Ninaamini yana mwisho haya
Tembo wetu ?? hivi baadae kule Ruaha watalii watakuwa wanakwenda kuangalia nini? vitindi vya ulanzi au?
Wanyongwe hadharani,
Hii operesheni tokomeza irudi tu tena kwa nguvu zaidi
Mimi mwenyewe nimesikia hii habari kutoka vyanzo ninavyoviamini sana
Wanyongwe hadharani,
Hii operesheni tokomeza irudi tu tena kwa nguvu zaidi
Mimi mwenyewe nimesikia hii habari kutoka vyanzo ninavyoviamini sana
Mkuu Invisible
Kwakuonyesha kuwa jf tunajiamini na kile tunachoamini, na hakuna siri chini ya jua, hebu iondoe hii habari kwenye tetesi na uiweke ni HABARI MOTOMOTO,
Kama unaogopa wang'oa kucha na meno hebu weka jina langu ionekane ndilo lilio leta habari hii, au weka chanzo ni mimi,
Nitawajibika kwa lolote na kwa yeyote katika ardhi ya Tanzania na China,
Ukweli ni uhuru!
Huwa naumia sana nikiiona hii picha, hivi ni tembo wangapi wameuawa ili kupata pembe za kujaza makontena matano?