Hv serikali huwa inafuatilia malipo wanayopata wafanyakazi/vibarua+haki zao wanazopata kutoka kwa wakandarasi wa kichina au ikisha pata mkandarasi wa bei rahisi inampotezea mfanyishwaji kazi?
Hao majamaa wamezidi sana nchini, kuna kazi zingine wanazifanya ambazo hata watanzania tungezifanya na wapo wenye uwezo huo. Lakini miradi yetu ya Taifa ni wachina tu ndio wamejazana humo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.