wachina-Mnatutesa!!!!

eRRy

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
1,125
204
1267252017_yakichina.jpg
 
Jamaa tuwe wakweli hivi wanaotutesa ni wachina au ujinga wetu? Hawa kina mama kutumia madawa ya kunenepesha *^#@ na kujichubua ni matokeo ya sisi wandume kupenda lumbesa na ving'aravyo na ndiyo kina dada wanafanya hivyo.
Cha msingi ni sisi kubadilika katika mitazamo yetu kwenye nyanja hizo kwani imefika wakati hivi sasa [hasa mijini] ni vigumu kukuta mwanamke mwenye rangi halisia na mkitaka kujua athari ya urembo huu hebu nendeni ocean road mtaona ongezeko la cancer ya ngozi,figo kwa kina mama.
 
Wanatulete ukiangalia wenyewe vibody structure vyao poa tu hata makalio hawana. ni ujinga wa wanaoyatumia kwanini usirithike na umbile alilokupa mwenyezi Mungu.
 
jamani wadada turidhike na jinsi mungu alivyotuumba,kama mtu unalo unalo tu na kama mtu huna huna tu hata utumie madawa haisaidii sana sana kujitafutia maradhi ya ajabu ajabu tu.kwanza uzuri wa mwanamke ni tabia,mwanamke ukiwa na tabia njema utamvutia kila mtu.halafu hawa wachina wanataka kutumaliza,mbona wao migongo kama meza ya kupigia pasi lkn hawaangaiki kutumia wanatuletea sisi.
 
thts photo shopped huh!! dont beliave everything u see on the net duh!!!
 
Nchi zingine soo huyu alikuwa mshindi wa 120 kwa wanawake wenye makalio makubwa kule Liberia thatha fikiria wa kwanza <o>:p></o>:p>
 

Attachments

  • 21.jpg
    21.jpg
    17.2 KB · Views: 175
wakilizika na umbile waliopewa na mwenyezi MUNGU hawatapata wanachokitafuta, huo ulimbukeni ndo unaosumbua watu, maana ilikuwa mikorogo na sasa tena hips!!!!!!!, mbona wao hawatumiiii???
 
Back
Top Bottom