Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Mnashindwa kulinda nchi yenu mpaka WACHINA wanakuja kuwaulia Wanyama wenu halaf bado mnajiita Nchi mnakwamia wap ?!...Wakati mzungu anatoa pesa na vifaa kwa serikali yetu ili kukabiliana na ujangiri kunusuru tembo wetu, mchina yeye ndo anawawinda na kuwaua tembo wetu ili tukose kabisa na hizo pesa za watalii wanaokuja kutazama tembo wetu. Mchina ni mshenzi sana.