Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Watu wawili wakazi wa kijiji cha Busegwe wilaya ya Butiama mkoani Mara wanaodaiwa kuwa ni wezi wa ng’ombe wamejikuta katika hali ya kula majani na kung’oa majani mithili ya ng’ombe baada ya kuiba ng’ombe wanaodaiwa kuwa na thamani ya shilingi milioni mbili.
ITV Tanzania
Wewe eneo limetoa Raia wa nchi ambaye amekingwa na Vitu vingi tu dhidi ya Maadui halafu Wewe leo unataka Kuwachezea hivi hovyo utaumia!
ITV Tanzania
Wewe eneo limetoa Raia wa nchi ambaye amekingwa na Vitu vingi tu dhidi ya Maadui halafu Wewe leo unataka Kuwachezea hivi hovyo utaumia!