Zigu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 315
- 193
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka miaka ya 90's kwenye fainali ya cecafa kati ya Yanga Vs Villa pale Nakivubo stadium, Kampala, ilibidi wachezaji wote wa Villa warudi nyuma ku defence na kumkaba kizota baada ya kuwasambaratisha vibaya ndani ya dakika 15 za mwazo tayari katupia 3 akisaidiana na lunyamila, waganda adi leo hii huwa hawaisahau ile finally!Said Nasoro Mwamba 'Kizota'
huu ulikuwa ni mtambo wa level nyingine kabisaaa, sijui ni kwa nini hakucheza ligi za Europe!
Licha ya kipaji maridhawa alichopewa na Muumba, Uhuni wake asingeweza kucheza Ulaya.Said Nasoro Mwamba 'Kizota'
huu ulikuwa ni mtambo wa level nyingine kabisaaa, sijui ni kwa nini hakucheza ligi za Europe!
Villa ya Majid Musisi na akina Jackson Mayanja.Nakumbuka miaka ya 90's kwenye fainali ya cecafa kati ya Yanga Vs Villa pale Nakivubo stadium, Kampala, ilibidi wachezaji wote wa Villa warudi nyuma ku defence na kumkaba kizota baada ya kuwasambaratisha vibaya ndani ya dakika 15 za mwazo tayari katupia 3 akisaidiana na lunyamila, waganda adi leo hii huwa hawaisahau ile finally!
Ongeza Sunday Manara na Said MwambaGibson Sembuli
OkOngeza Sunday Manara na Said Mwamba
Yanga ni moja ya timu ambazo wachezaji wake wengi wanakaa kwa muda mrefu kwenye timu bila kuhamaKenneth Mkapa, Gibson Sembuli, Constantine Kimanda, Boniphace Mkwasa, Salvador Edward, Fred Felix Minziro, Steven Nemes, Leodgar Tenga, wooooteeeeeee hawa haujaona majina yao eti....!!?? Acha ubaguzi wa kijinga
Acha utani mkuuGerson tegete
Ahahah kwannAcha utani mkuu
Tegete alikiwa na jipya gani?Ahahah kwann