Kahata bonge la mchezaji, nilitamani sana aje timu kubwa ( Yanga) ila ndio hivyo tena haikuwezekana!Simba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu.
Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata.
Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis kahata?
Simba tunamalizia kusajili magari ndio tuhamie kusajili wachezaji wa mashindano, hawa tuliosajili kwa buku jero ni geresha tu.Simba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu.
Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata.
Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis kahata?
MO ANATAMANI ARUDISHIWE B20 ZAKE
...tajiri gani huyo?maana huyu nambari wani TZ kila siku analalama mpk nje ya nchi huko kwamba timu inamtia hasara,yeye anaweka pesa zake na faida haoni sasa huyo tajiri aliyeko nyuma ya Muddy anaweza kuja himili hizi hasara ni nani?Arudishiwe tu kwa pale simba ilipofikia hawatakaa hata masaa tajiri mwingine kashajitokeza kuichukua ile klabu
mbona hamweleweki Mara hajaweka mara arudishiweMO ANATAMANI ARUDISHIWE B20 ZAKE
Sihitaji ubishi kwa hili mdau...tajiri gani huyo?maana huyu nambari wani TZ kila siku analalama mpk nje ya nchi huko kwamba timu inamtia hasara,yeye anaweka pesa zake na faida haoni sasa huyo tajiri aliyeko nyuma ya Muddy anaweza kuja himili hizi hasara ni nani?
Hizo 20bl aliziweka lini na kwenye akaunti ya bank gani?Arudishiwe tu kwa pale simba ilipofikia hawatakaa hata masaa tajiri mwingine kashajitokeza kuichukua ile klabu
Simba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu.
Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata.
Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis kahata?
Simba SC acha wavune walichopandaSimba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu.
Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata.
Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis kahata?
Muulize muanzisha mada ya 20bln mie niliquote tu...
Huyo huyo uliyembariki ndyie aliyewauza chama na konde boy Sasa sijui abarikiwe na kulaniwa at the same timeKwa kweli Kahata kuondoka kwake kuliniuma sana. Ni kama tu imetonyesha donda.
Abarikiwe mfadhili wetu na alaaniwe aliyemuuza Chama Konde Boy.
Mkuu kama kweli kuna matajiri wanaitamani Simba basi kuweni macho na Muddy,huoni kama anawaharibia kwa kusema ana endesha timu kwa hasara,hii itawarudisha nyuma hao matajiri na kupeleka pesa kwenye biashara zingine siku Muddy atakopo bwaga manyanga?Sihitaji ubishi kwa hili mdau
Wafanyabiashara wanajuana kauli zao kuwa makini na hiliMkuu kama kweli kuna matajiri wanaitamani Simba basi kuweni macho na Muddy,huoni kama anawaharibia kwa kusema ana endesha timu kwa hasara,hii itawarudisha nyuma hao matajiri na kupeleka pesa kwenye biashara zingine siku Muddy atakopo bwaga manyanga?
.........Kwani alizitoa? Na kama alizitoa ziko wapi? Mo ni msanii sana. Mo is a cheat.MO ANATAMANI ARUDISHIWE B20 ZAKE
leta ushahidi kwamba hajaweka 20 b.........Kwani alizitoa? Na kama alizitoa ziko wapi? Mo ni msanii sana. Mo is a cheat.