Wachezaji waliowahi kucheza nje ya Nchi wameleta mchango gan kwa jamii iliyozunguka kisoka?

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Jun 4, 2015
1,519
1,462
Habarini wanajamvi......

Naomba kuuliza wachezaji waliowahi kucheza Moira wa miguu nje ya Nchi walishawahi kuleta tija yeyote kwenye jamii iliyozunguka kisoka?

Walishawahi kuanzisha hata academic za mpira wa miguu?

Kama hawajawahi kufanya hivo mpira wetu utaendelea lini?

Kwanin mchezaji uecheze ligi kubwa za nje huku ukilipwa hela kubwa halafu uje ushindwe hata kuanzisha academic za mpira wa miguu ukawanoa vijana wakiwa wadogo ili wajiendeleze kisoka na kuwa wachezaji wakubwa kupitia wewe?

Samata kwa mshahara unaolipwa utashindwa hata kuanzisha academic ya vijana?

Hebu kuwa mfano wa kuigwa bhana...


Tuwaache waliotangulia,

Tumhamasishe Samata awe mfano...
 
wewe umeifanyia nini nchi yako?
walete au wasilete hayo ni maisha yao binafsi haiwahusu,tija gani kwani jamii ndio imewapeleka huko? au ni juhudi zao binafsi?
,kwani serikali inafanya nini kuendeleza huo mpira?
 
wewe umeifanyia nini nchi yako?
walete au wasilete hayo ni maisha yao binafsi haiwahusu,tija gani kwani jamii ndio imewapeleka huko? au ni juhudi zao binafsi?
,kwani serikali inafanya nini kuendeleza huo mpira?

Baharia una ugomvi na Mimi?

Nije nikuombe msamaha? Maana hili povu la kiwango cha juu kabisa....

Nirudi kwenye comment yako,

Sijasema wajitoleeee,ila wafanye kama biashara wajenge academics tupeleke watoto wetu kwenye hizo academics maana mpira unalipa kuliko mambo mengine...

Unakwama wap Bavaria?
 
Baharia una ugomvi na Mimi?
Nije nikuombe msamaha? Maana hili povu la kiwango cha juu kabisa....
Nirudi kwenye comment yako,
Sijasema wajitoleeee,ila wafanye kama biashara wajenge academics tupeleke watoto wetu kwenye hizo academics maana mpira unalipa kuliko mambo mengine...
Unakwama wap Bavaria?
tehteh
hakuna ugomvi mkuu
take it easy baharia,,hapo mwanzo hakusema kama ni biashara,,,,
 
Kwan hilo ni jukumu lao au la Tff na serikali....??

Acha watu waishi wanavotaka bana

Mbna watu wanaenda kufanya kazi za udaktar nje na hawafungui hospital hapa bongo na hamsemi

Au unataka mwalimu akienda nje bas aje aanzishe shule bongo ...??

Hilo sio jukumu lao
 
Habarini wanajamvi......

Naomba kuuliza wachezaji waliowahi kucheza Moira wa miguu nje ya Nchi walishawahi kuleta tija yeyote kwenye jamii iliyozunguka kisoka?

Walishawahi kuanzisha hata academic za mpira wa miguu?

Kama hawajawahi kufanya hivo mpira wetu utaendelea lini?

Kwanin mchezaji uecheze ligi kubwa za nje huku ukilipwa hela kubwa halafu uje ushindwe hata kuanzisha academic za mpira wa miguu ukawanoa vijana wakiwa wadogo ili wajiendeleze kisoka na kuwa wachezaji wakubwa kupitia wewe?

Samata kwa mshahara unaolipwa utashindwa hata kuanzisha academic ya vijana?

Hebu kuwa mfano wa kuigwa bhana...


Tuwaache waliotangulia,

Tumhamasishe Samata awe mfano...
Kichuya atakuja kuanzisha.
 
Back
Top Bottom