Wachezaji wa Zambia kufikishwa mahakamani..kwa Rushwa

Tresor Mandala

JF-Expert Member
Aug 20, 2010
37,216
78,161
Nilikuwa napitia Tovuti ya BBC SPORT..nimeona HABARI kuwa kuna wachezaji wa Zambia wanaocheza Katika Ligi ya huko FINLAND wanatuhumiwa kuwa walichukua Mlungula(RUSHWA) ili wapange matokeo.....hivyo wanaweza kufikishwa mahakamani kwa kosa hilo..


Nauliza wenzangu ..hivi Rushwa ya uwanjani au Michezoni huwa inapelekwa mahakamani?....hasa hizi za kiraia?....

SORCE:BBC SPORT


BBC Sport - Zambians implicated in Finnish match-fixing
 
Back
Top Bottom