Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
au akajifunze ukochaSasa ni muda muafaka Mrisho Ngassa kuanza kujifunza ujasiliamali Na ikiwezekana aende kusoma ufundi veta, mpira Na umri vimempa kisogo
au akajifunze ukochaSasa ni muda muafaka Mrisho Ngassa kuanza kujifunza ujasiliamali Na ikiwezekana aende kusoma ufundi veta, mpira Na umri vimempa kisogo
Wanawake sio tatizo bali nidhamu ya mpira na kujielewa nini unataka ndio tatizoHizo zote zinaweza kuwa ni sababu lakini yule Bwana Mdogo alikuwa anapenda sana wanawake nafikiri ndio sababu hasa ya kiwango chake kuporomoka kwa haraka .
Ha ha haa,,inawezekana hii pia ilikuwa sababu ya Ngasa kukataa kwenda SUDAN,,,maana angepeleka urafi wake kwa mabinti wa kule,,,WA-sudan wangekula kichwa..!Hizo zote zinaweza kuwa ni sababu lakini yule Bwana Mdogo alikuwa anapenda sana wanawake nafikiri ndio sababu hasa ya kiwango chake kuporomoka kwa haraka .
Kweli kabisa ule ukuta wa Ferdinand na Vidic ulikuwa wa Pazia.Nakumbuka alifanyiwa majaribio na timu Moja ya marekani kwa bahati nzr ilikuwa ni kipindi cha MANCHESTER PRE SEASON TOUR,,, wakakutana na Manchester MAREKANI ,,, NGASA aliingia kipindi cha pili,,,, basi MAGAAZETI yote ya michezo ya bongo yalimpamba,,,, NGASA amtoa KAMASI Rio Ferdinand,,, NGASA afanya KUFURU,,, duh,, pole yake NGASA,,,
Wachezaji wetu hawajielewi wewe Angalia Chilunda bado umri mdogob napata nafasi ya kucheza ulaya unarudi Azamngasa ni mojawapo ya watanznaia wajinga waliowahi kutokea nchi hii very talented kwenye peak.MCHEZAJI mkali kabisa kavuna yake kavuna alichoapnda,case yake iingizwe kwenye mitaala shuleni ili watoto huko mbeleni wasirudie ujinga wake,yule alitakiwa watoto wa mu idolise kabala ya samatta nianchumonea huruma ni kwamba anaonekana kama mtu wa jokes nyingi huwa ananichekesha posts zake za instagram,ila alijifanya anaipenda utopolo ambayo haimependi, jinga kabisa angekuwa simba angepewa hata kazi kama mhosi kufundisha mademu
Ongezea na Ibrahim kukataa Mazembe ili aende Bunju!Wachezaji wetu hawajielewi wewe Angalia Chilunda bado umri mdogob napata nafasi ya kucheza ulaya unarudi Azam
farid musa anarudi yanga
kapombe ndio sikumuelewaga kabisa kutoka france kurudi azam
Sent from my M4 using JamiiForums mobile app