Wachezaji wa Kusini mwa Africa waliowahi kucheza soka Tanzania

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
1,397
3,492
Leo, tuwakumbuke wachezaji kutoka kusini mwa Afrika waliowahi kucheza soka hapa Tanzania, nikianza na Wisdom Ndlovu kutoka Malawi, huyu alicheza Yanga. Unamkumbuka yupi? Endeleaa..
 
Constantine Kimanda wa Rwanda
Lucas Mushomba wa Zambia mwaka 1978
Mayaula Mayoni alikuwa mwanamuziki toka Congo ila alichezea Yanga ila ni RIP kwa sasa
 
Back
Top Bottom