kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 905
Wachezaji sita wa Simba wa kimataifa wameitwa kwenye timu zao za Taifa. Wachezaji wa Yanga imekuwaje hata hawachezei timu zao za Taifa. Hii ina maana gani kwa soka la Bongo? Wamenunua makapi au bado hawajakomaa, wataitwa wakikomaa au Yanga wamenunua mizigo!!!