mkuu upo timamu kweli? yaani unataka simba watoe team nzima akati nyie hata mmoja hamna?Wewe ndio daktari wa timu zao za taifa? Morrison na Mugalu wamecheza jana mechi ya kirafiki halafu wewe unasema hawako fiti kivipi?
mkuu upo timamu kweli? yaani unataka simba watoe team nzima akati nyie hata mmoja hamna?Wewe ndio daktari wa timu zao za taifa? Morrison na Mugalu wamecheza jana mechi ya kirafiki halafu wewe unasema hawako fiti kivipi?
Morison hajacheza mpira muda mrefu pamoja na Mugalu ndio maana wanachezeshwa mechi hizo nilitegemea utamzungumzia yule mkata viuno wenu wa Angola lakini unakimbilia kuongelea SimbaWewe ndio daktari wa timu zao za taifa? Morrison na Mugalu wamecheza jana mechi ya kirafiki halafu wewe unasema hawako fiti kivipi?
thread closed.Muwe mnaangalia na nchi zenyewe walipotoka hao wachezaji.
jibu atalokupa ndo kipimo kizuri cha uelewa wake wa soka.Kwani Simba inawachezaji sita tu wakigeni? Kama ina zaidi ya wachezaji sita kwanini hao waliobakia hawajaitwa? Je ni makapi au vipi
kwa hiyo Morrison angecheza muda mrefu unahisi angepata namba kwenye kikosi cha Ghana?Morison hajacheza mpira muda mrefu pamoja na Mugalu ndio maana wanachezeshwa mechi hizo nilitegemea utamzungumzia yule mkata viuno wenu wa Angola lakini unakimbilia kuongelea Simba
acheni kujifariji manyani fc, mukoko awali alikua akiitwa team ya taifa bt kaja churan team ya taifa hawezi itwa, nio nae alikua akiitwa bt leo wapi inshort chura mnakapi na wala msisingizie mataifa wanakotokaMuwe mnaangalia na nchi zenyewe walipotoka hao wachezaji.
Hebu tujadili wachezaji wenu wangapi wameitwa timu ya taifakwa hiyo Morrison angecheza muda mrefu unahisi angepata namba kwenye kikosi cha Ghana?
Nyinzonzima na kagere si wametoka nchi moja , shikalo , Onyango na Kahata si wametoka nchi moja kwa kifupi manyani uneducated wanazidi kumpa credit Eymaelacheni kujifariji manyani fc, mukoko awali alikua akiitwa team ya taifa bt kaja churan team ya taifa hawezi itwa, nio nae alikua akiitwa bt leo wapi inshort chura mnakapi na wala msisingizie mataifa wanakotoka
manyani hawajielewiNyinzonzima na kagere si wametoka nchi moja , shikalo , Onyango na Kahata si wametoka nchi moja kwa kifupi manyani uneducated wanazidi kumpa credit Eymael
manyani bhanaHizi break ni msaada sana kwetu Yanga kama hamjui nyie mbumbumbu,Acha Yanga tutengeneze timu wakati huo ligi imesimama.
Acha wakachukue majeruhi warudi nayo Tz,mbona fresh tu........
Point yangu ni kwamba sababu ya wachezaji wa Yanga kutoitwa kwenye timu zao za taifa ni sawasawa na wale wachezaji wasioitwa kwenye mataifa yao kutoka klabu ya Simba.mkuu upo timamu kweli? yaani unataka simba watoe team nzima akati nyie hata mmoja hamna?
Mikia na mbumbumbu ni ngumu kuelewamanyani bhana
sawa lakini mwenye 6 hawezi lingana na mwenye 0Point yangu ni kwamba sababu ya wachezaji wa Yanga kutoitwa kwenye timu zao za taifa ni sawasawa na wale wachezaji wasioitwa kwenye mataifa yao kutoka klabu ya Simba.
tatizo la mambwa hata kama yamezidiwa hubweka kutia mikwara bt ukiwasogelea wanatimua mbioMikia na mbumbumbu ni ngumu kuelewa
Inawezekana wachezaji wote wakimataifa waliosajiliwa na Yanga ni wachezaji wa sampuli ya wale wasioitwa kwenye mataifa yao ndani ya Simba.sawa lakini mwenye 6 hawezi lingana na mwenye 0
ingelikua hivo nio na shikhalo wangeitwa pia bt hawaendani ndo maana wenu hawajaitwaInawezekana wachezaji wote wakimataifa waliosajiliwa na Yanga ni wachezaji wa sampuli ya wale wasioitwa kwenye mataifa yao ndani ya Simba.
Umeelewa nilichokiandika au umejibu tu? Soma tena nilichokiandika ili ueleweingelikua hivo nio na shikhalo wangeitwa pia bt hawaendani ndo maana wenu hawajaitwa
MnajifarijiHizi break ni msaada sana kwetu Yanga kama hamjui nyie mbumbumbu,Acha Yanga tutengeneze timu wakati huo ligi imesimama.
Acha wakachukue majeruhi warudi nayo Tz,mbona fresh tu........