Wachezaji Man United waumwa tumbo, yadaiwa wamekula chakula chenye sumu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,458
Wachezaji 12 na wafanyakazi wa Klabu ya Manchester United, walipata maumivu ya tumbo Ijumaa iliyopita ambayo inadaiwa yalisababishwa na kula chakula chenye sumu wakati wa mchezo wao dhidi ya Sheriff Tiraspol katika UEFA Europa League.

United ilisafiri kwenda Nchini Moldovan kucheza mchezo huo, ambapo siku moja baadaye (Septemba 16, 2022) walianza kupata maumivu hayo na kusababisha washindwe kushiriki katika mazoezi.

Imeelezwa kuwa wameshapata nafuu lakini bado wanafanya uchunguzi kubaini chakula kilichokuwa na shida kati ya kile cha hotelini au kwenye ndege.


-----------------------


Manchester United players and staff 'were hit by bout of suspected FOOD POISONING' after their Europa League trip to Moldova with up to 12 affected and some stars forced to miss training over the weekend

Manchester United's players and staff 'were hit by a bout of suspected food poisoning' following their UEFA Europa League trip to Moldova last week.

Erik ten Hag's team played Sheriff Tiraspol in the Moldovan capital Chisinau on Thursday night, winning 2-0 thanks to goals by Jadon Sancho and Cristiano Ronaldo.

They then returned to Manchester by private plane but members of the party began to feel unwell on Friday.

According to The Sun, up to 12 in the United camp were affected with a handful of players missing training on Friday and others on Saturday.


The report says United are looking into whether the sickness was the result of something they ate while in Moldova or on the plane home.

United weren't in action over the weekend after Sunday's home Premier League game against Leeds United was postponed because of stretched policing resources owing to the funeral of Her Majesty Queen Elizabeth II.


It is uncertain how badly United would have been affected by the illness had the match at Old Trafford gone ahead.

Some of the players who missed training on Friday were able to return on Saturday and all of those affected have been able to depart for international duty.

United's revival under Ten Hag, which has seen them win five of their last six games in all competitions, will be put to the test after the international break when they play Manchester City at the Etihad Stadium on October 2.

United then face another European away trip, to Cyprus to face Omonia Nicosia, the following Thursday.

The win over Sheriff was an ideal response after United lost 1-0 at home to Real Sociedad in their opening group fixture.

Source: The Sun
 
Source : the sun

Waandishi mashuhuri kwa kuripoti habari za manchester united kama vile Simon stone, laurie whitwell na james ducker hakuna hata mmoja aliyeripoti hiyo habari.

Ngoja niendelee kufuatilia, pengine the sun wanaweza kuwa sahihi kwa mara ya kwanza.

The sun na gazeti la sani ni ndugu wawili wasiojuwana
 
Back
Top Bottom