yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Mimi ni muudhuriaji mzuri wa mechi za timu ya za bongo .ktk timu inayotumia pesa nyingi katika usajir hapa bongo ni timu niipendayo ya Yanga.Lakini ndio timu inayoongoza kwa kununua magalasa/feki kila mwaka ,some times wengine hawafai *kuchezea hata majimaji ya songea.huo usajiri wa kwenye simu *ndio unaitafuna yanga kila mwaka.wengine hawapo kwenye kiwango cha kuchezea timu kama yanga ni makomedian tu uwanjani.wachezaji hao ni*Davis Mwape(huyu *hafai kabisaaa)*Jerry tegete (amekwisha) *Kigi makasi hafaikabisaa*Godfrey tighter( kijeba sana*)na wengineo wengine wengi.wengine wanamaumbile madogooooooo,hawafai linanpokuja swala la mehi za kimataifa.**