Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Ukisikiliza sana kelele za mashabiki wa messi unaweza changanyikiwa huku takwimu za wachezaji bora copa america zinaonyesha tofauti kabisa.
Kwenye list ya wachezaji bora copa america tangu 1983 mpaka hivi sasa Messi anafyata mkia kwa fundi mmoja toka uruguay ambaye zidane mwenyewe anamjua vizuri.
Kiasi cha zidane kuamua kumpa jina la huyo gwiji mtoto wake Enzo
Kabla ujachukua muda wako kumfahamu huyo fundi, hizi ni takwimu fupi.
Nchi zilizotoa wachezaji bora wa michuano mara nyingi(1983-2019)
Brazil - Wachezaji 5. ambao ni wafuatao
1. Ronaldo de lima
2. Rivaldo
3. Adriano
4. Robinho
5. Dani Alves
Argentina - Wachezaji 3. ambao ni wafuatao
1. Rodriguez
2. Goycochea
3. Messi
Uruguay - Wachezaji 3. ambao ni wafuatao
1. Francescoli
2. Sosa
3. Suarez
Corombia - mchezaji 1
Valderrama
Honduran - mchezaji 1
Guevara
Chile - mchezaji 1
Sanchez
Mchezaji aliyechukua mara nyingi
Enzo Francescoli
Huyu ndie mchezaji aliyemu-inspire fundi ambaye hajawi tokea dunia hii zidane.
Messi "the so called GOAT" kachukua mara moja tangu ameanza kushiriki copa america mwaka 2007.
Nawaomba muache kumwita mchezaji anayetamba na timu moja kwamba ndie bora kuwahai kutokea mnadharirisha mpira.
Kwenye list ya wachezaji bora copa america tangu 1983 mpaka hivi sasa Messi anafyata mkia kwa fundi mmoja toka uruguay ambaye zidane mwenyewe anamjua vizuri.
Kiasi cha zidane kuamua kumpa jina la huyo gwiji mtoto wake Enzo
Kabla ujachukua muda wako kumfahamu huyo fundi, hizi ni takwimu fupi.
Nchi zilizotoa wachezaji bora wa michuano mara nyingi(1983-2019)
Brazil - Wachezaji 5. ambao ni wafuatao
1. Ronaldo de lima
2. Rivaldo
3. Adriano
4. Robinho
5. Dani Alves
Argentina - Wachezaji 3. ambao ni wafuatao
1. Rodriguez
2. Goycochea
3. Messi
Uruguay - Wachezaji 3. ambao ni wafuatao
1. Francescoli
2. Sosa
3. Suarez
Corombia - mchezaji 1
Valderrama
Honduran - mchezaji 1
Guevara
Chile - mchezaji 1
Sanchez
Mchezaji aliyechukua mara nyingi
Enzo Francescoli
Huyu ndie mchezaji aliyemu-inspire fundi ambaye hajawi tokea dunia hii zidane.
Messi "the so called GOAT" kachukua mara moja tangu ameanza kushiriki copa america mwaka 2007.
Nawaomba muache kumwita mchezaji anayetamba na timu moja kwamba ndie bora kuwahai kutokea mnadharirisha mpira.