Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,717
- 15,275
alikua mwalimu wa kifaransa na hesabu st.marys ya tabata ila kwenye 2003 hukoinasemekana wakati anahojiwa na uhamiaji.
Ameulizwa umezaliwa wapi
Akajibu Kibaha
Akaulizwa Kibaha ipo mkoa gani
Akajibu Mkoa WA Kigoma