Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,304
Je wajua?
Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye champions league barani ulaya,,, chakufurahisha zaidi wote hawa wamecheza katika club ya Chelsea kwa vipindi tofauti tofauti
Didier Drogba
Samuel Etoo
Mohamed Salah
The Blues updates🔵
Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye champions league barani ulaya,,, chakufurahisha zaidi wote hawa wamecheza katika club ya Chelsea kwa vipindi tofauti tofauti
Didier Drogba
Samuel Etoo
Mohamed Salah
The Blues updates🔵