Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye UCL

Chaos Master

JF-Expert Member
Jul 7, 2021
636
1,304
Je wajua?

Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye champions league barani ulaya,,, chakufurahisha zaidi wote hawa wamecheza katika club ya Chelsea kwa vipindi tofauti tofauti

Didier Drogba
Samuel Etoo
Mohamed Salah

The Blues updates🔵
 
Back
Top Bottom