mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Stori za kichawi nyingi huwa ni kuonyesha wakipiga mikwara bila kuchukua hatua...
mfano:
Mtu kalala usiku eti mchawi anatembea juu ya bati ila haingii ndani...
sasa anapata faida gani...
Mtu umelala kitandani unajikuta uko juu ya bati, au uvunguni kisa wachawi wamefanya yao..
anafaidika nini...
Unaamka asubuhi unakuta umechanjwa chale badala ya kuuliwa kabisa kama ndio ilikuwa nia.
Sasa maana yake ni nini...
Wengine unasikia mtu anatembea ndani ukiwasha taa haoekani...
sasa anatembea ili iweje...
Wachawi wanamambo ya ajabu sana...
mfano:
Mtu kalala usiku eti mchawi anatembea juu ya bati ila haingii ndani...
sasa anapata faida gani...
Mtu umelala kitandani unajikuta uko juu ya bati, au uvunguni kisa wachawi wamefanya yao..
anafaidika nini...
Unaamka asubuhi unakuta umechanjwa chale badala ya kuuliwa kabisa kama ndio ilikuwa nia.
Sasa maana yake ni nini...
Wengine unasikia mtu anatembea ndani ukiwasha taa haoekani...
sasa anatembea ili iweje...
Wachawi wanamambo ya ajabu sana...