Wachawi/wanga huwa wanapata faida gani kusumbua watu...

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Stori za kichawi nyingi huwa ni kuonyesha wakipiga mikwara bila kuchukua hatua...

mfano:
Mtu kalala usiku eti mchawi anatembea juu ya bati ila haingii ndani...
sasa anapata faida gani...

Mtu umelala kitandani unajikuta uko juu ya bati, au uvunguni kisa wachawi wamefanya yao..
anafaidika nini...

Unaamka asubuhi unakuta umechanjwa chale badala ya kuuliwa kabisa kama ndio ilikuwa nia.
Sasa maana yake ni nini...

Wengine unasikia mtu anatembea ndani ukiwasha taa haoekani...
sasa anatembea ili iweje...


Wachawi wanamambo ya ajabu sana...
 
Hivi kama anaweza penya ndani kichawi .wanashindwaje kuingia benk kuchota pesa
Uchawi una algorithm ngumu sana, jiulize kwa nini mganga akufanyie wewe dawa za utajiri ila yeye hawezi kujifanyia? vivyo hivyo hawezi kukuroga wewe bila sababu akifanya hivyo damu yako inaweza kumsumbua sana. Mchawi hawezi kukubia hela yako mfukoni kama umeihesabu, ama anaweza kuingia ndani kwako akakuchezea kama unavyosema lakini hawezi kuiba chochote hata senti moja ingawa of cause anaziona.

Uchawi una principals zake!! ambazo mchawi lazima azifuate na asipofanya hivyo basi kazi ya uchawi inakuwa haiwezi na uchawi wake unamgeukia yeye kumwadhibu. Dawa za kichawi lazima zipate nguvu mpya, kutoa kafara za ndugu wa damu kama mtoto wa kuzaa, baba ama mama mzazi ni muhimu ili ku-recharge dawa yake.

Kuacha uchawi pia si kazi rahisi, once your in there is no simple way out!! lazima atoe kafara nyingi na kuyaua mauchawi yake yote ili yasimgeuke, sababu once yakijua anataka kuya-dump nayo yanaanza kujihami inakuwa vita takatifu.
 
Asante Mkuu.umenitoa tongo tongo.thumb up
Uchawi una algorithm ngumu sana, jiulize kwa nini mganga akufanyie wewe dawa za utajiri ila yeye hawezi kujifanyia? vivyo hivyo hawezi kukuroga wewe bila sababu akifanya hivyo damu yako inaweza kumsumbua sana. Mchawi hawezi kukubia hela yako mfukoni kama umeihesabu, ama anaweza kuingia ndani kwako akakuchezea kama unavyosema lakini hawezi kuiba chochote hata senti moja ingawa of cause anaziona.

Uchawi una principals zake!! ambazo mchawi lazima azifuate na asipofanya hivyo basi kazi ya uchawi inakuwa haiwezi na uchawi wake unamgeukia yeye kumwadhibu. Dawa za kichawi lazima zipate nguvu mpya, kutoa kafara za ndugu wa damu kama mtoto wa kuzaa, baba ama mama mzazi ni muhimu ili ku-recharge dawa yake.

Kuacha uchawi pia si kazi rahisi, once your in there is no simple way out!! lazima atoe kafara nyingi na kuyaua mauchawi yake yote ili yasimgeuke, sababu once yakijua anataka kuya-dump nayo yanaanza kujihami inakuwa vita takatifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom