Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 161
- 163
UCHAWI NA UGANGA SI KITU MBELE ZA MUNGU NA WATOTO WAKE WALIOWAAMINI .(YOH 1:12)
Neno la Mungu linasema hakuna uchawi wala uganga mbele za Israeli.Maana yake wale wote wenye mahusiano mazuri na Kristo wanakuwa wanalindwa na nguvu za Mungu ambapo wachawi wala waganga au mapepo hawawezi kuwaloga.
Soma Hesabu 23:23;
23 Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Hesabu-Numbers 23:23
Natoa wito kwa wale waliowaoga kulogwa njia ni moja tu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mokozi itapelekea ulinzi wa Mungu kuwa juu yako.
Kwa namna nyingine watu wengi kukumbwa na laana na kuteswa na wachawi ni kujitakia wenye ,Injili ya Yohana 3:16 inaposema utaupata uzima wa milele ni uzima au baraka za hapa duniani na badae mbinguni.
Naomba kuuliza uzoefu wao wachawi na waganga je wanamuweza mtu aliyeokoka kweli ?maana mara nyingi upata taarifa kwamba wachawi kuwaita waliokoka ni wachawi kushinda wao hii ni kutokana na nguvu kubwa iliyojuu ya waliomiamini Yesu.
Nakaribisha maoni na ushauri juu hili.
Kumbuka :Huu ni wakati wa wokovu, uokoke Sasa.
Neno la Mungu linasema hakuna uchawi wala uganga mbele za Israeli.Maana yake wale wote wenye mahusiano mazuri na Kristo wanakuwa wanalindwa na nguvu za Mungu ambapo wachawi wala waganga au mapepo hawawezi kuwaloga.
Soma Hesabu 23:23;
23 Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Hesabu-Numbers 23:23
Natoa wito kwa wale waliowaoga kulogwa njia ni moja tu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mokozi itapelekea ulinzi wa Mungu kuwa juu yako.
Kwa namna nyingine watu wengi kukumbwa na laana na kuteswa na wachawi ni kujitakia wenye ,Injili ya Yohana 3:16 inaposema utaupata uzima wa milele ni uzima au baraka za hapa duniani na badae mbinguni.
Naomba kuuliza uzoefu wao wachawi na waganga je wanamuweza mtu aliyeokoka kweli ?maana mara nyingi upata taarifa kwamba wachawi kuwaita waliokoka ni wachawi kushinda wao hii ni kutokana na nguvu kubwa iliyojuu ya waliomiamini Yesu.
Nakaribisha maoni na ushauri juu hili.
Kumbuka :Huu ni wakati wa wokovu, uokoke Sasa.