Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli.
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
[/QUOT
Nimewasikiliza wote mwanzo mwisho. Mtangazaji amechukua watu wa upande mmoja. Mjadala haukuwa na mizania sawa