Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli.
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
Ninakushukuru sana Kaka yangu Gwapo Mwakatobhe kwa ushauri ulioutoa kwa Tundu Lissu leo wakati ukichambua kupitia DW.
Umeshauri vizuri sana, lakini najiuliza ni namna gani ushauri huu utamfikia Lissu huko alipo.
Umesema
1. Asirudie kuwasema wale waliotaka kumuua kwa sababu atawapa umaarufu, ni sahihi kabisa atakuwa kama anawatukuza kwa uovu wao
2. Aende akawashukuru watu waliokuwa wanakesha kumuombea ili mungu amponye na pia akawashukuru wale wote waliodiriki kumtembelea kwenda kumjulia hali huko haspitali akiwemo makamu wa Raisi Samia Suluhu Hassan na Mzee Mwinyi
3. Aweke mkakati wa kuwepo maridhiano atakapokuwa ameapishwa kuwa raisi maana hili halikwepeki. Tutampigia kura na atashinda tu (tumechoka na maigizo ya kitapeli)
Umeongea mengi kama ulikuwa umeandika naomba uyaposti hapa yatatusaidia sana huko tuendako. Posti huku JF maana ukimpelekea live utatengeneza maadui kutoka kile chama cha wenye visasi.
Nasema hivyo home boy hawa wa kijani tunaishi nao kinafiki. Ukweli hatuwependi hata kuwaona tu. Wengine tunatamani itokee mapinduzi ili hicho kikundi kipigwe marufuku kama ilivyopigwa marufuku NAZI ya Ujerumani enzi Hitler.
Tunashukuru sana. Na nimefurahi mno.
Hongera poti