Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hilo mbona liko wazi ,Lissu ndio anamuweza huyo mchato.
Mkuu Wangu nilimsikiliza vyema Luqman Maloto na kutosikia Mateso ya Lissu Nje ya taaluma yake ya uwakili,Katika siasa na ya Kushambuliwa na maharamia anyway kusamehe ni Jambo la mwisho Lililo bora kwa kila mja duniani kwa Maana safari Yetu indefu mno.Labda hukumsikiliza vizuri Luqman Maloto aliyoyataja kuwa ni madhila na mateso aliyopitia TL! Mimi nitaendelea kuwasamehe na kuwapuuzia mbali watesi na/au maadui wangu kadri nitakavyojaaliwa kuishi. Hakuna mwisho wa kusamehe, kuridhiana na kupatana maana watu hatuachi kukosea na kukosana!
Kwa maana yako wewe, likitokea shambulio ni sawa tu, hata Rais wko akishambuliwa ni sawa?Wanachotakiwa wajue suala la shambulio la lissu sio kitu cha ajabu duniani ndio maana hata wazungu hawashikii kidedea sababu dunia ilishawahi kushuhudia shambulio dhidi ya rais wa dunia John Kennedy.
Nchi zilizoendelea zinajua fika dunia inaongozwa na kanuni zake.
Kwahiyo hata magu akipigwa ambushi ni sawa?Ni principle ya kawaida kabisa hiyo duniani
Changamoto hutoa matokeo chanya baadae.Changamoto bila kushinda inasaidia nini?!
Ukiwa wa porojo unaweza kuona porojo?Nimesikia ma porojo tu
Hakuna lolote
Kwani umeambiwa Chadema ndo imemtuma Lissu kumpa changamoto magufuli? Kumbuka Chadema bado haijateua mgombea wakeHawajielewi mfano sisi CCM tulimptisha si kuwa akampe changamoto mgombea yeyote wa Cham a chochote Bali tunayeamini ataisimia na kuitekeleza ilani ya CCM
Lisu kumtuma eti akampa changamoto Magufuli mumeshindwa siasa tayari
Kwa Chadema anayeonyesha wazi kuelewa akiteuliwa atasimamia Nini Ni Nyalandu tu yuko organized, focused na ana hadhi ya muonekano wa kiraisi kuanzia lugha yaki staarabu na Wasifu wake umejaa barabara maeneo yote kuanzia kiuchumi ,kisiasa ,kimaadili,kidini na uwezo wa kumchukulia a na watu wote ndani na nje ya Chadema.Ni rafiki wa kila mtu Hana adui yeyote ndani na nje ya Chadema.Ana siasa za kushindanana kwa hoja Sio matusi na kejeli kwa yeyote au chama chochote
Ana pesa za kuendesha kampeni bila kubebesha mzigo chama au wanachama tofauti na Lisu ambaye alianza Kuomba kuchangiwa pesa Hadi za kuchukua fomu
Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli.
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
Hiyo link ya audio sijui ni lugha gani hiyo; sijui Kichina, sijui Kinyarwanda...
Kwa kifupi ni lugha gongana. Weka ya kiswahili au kiinglishi...
Heri umesema wewe usiyesukumwa na HISIA Koko....Tatizo anategemea huruma hana nia wala sifa za kuwa RAIS.
Nitumie email yako nitakutumia audio clip
Haa haa Gwappo Mwakatobe, HAPANA, sikujui na hunijui mkubwa...
Kama haiwezekani kuiweka hapa kwa manufaa ya wote, basi acha ipite...
Hizi ni nyakati za hatari. Usimwamini yeyote. Mwamini Mungu muumba peke yake...!
Inawezekana hilo likatokea.Akili za bavicha na bawacha wanazijua wenyewe eti wanajipa matumanini kabisa ya kushinda uchaguzi ??? .
Haya sisi CCM tunasema hivi tunaingia kwenye uchaguzi tayati tukiwa tuneshinda uchaguzi ngazi ya Urais hakuna namna tutashindwa uchaguzi asimamishwe Lissu, Mbowe, Nyalandu, sijui Membe hakuna ambaye anaweza kufikisha angalau thelusi moja ya kura zote atakazozipata Mh Magufuli.
TUNAENDA KWENYE UCHAGUZI KUTAFUTA NINJ?
Tunaenda kwenye uchaguzi kuhakikisha tunashinda majimbo yote Tanzania bara na visiwani na kuhakikisha tunaongoza Halmashauri zote 184 Tanzania bara.
Sasa Kama kuna mtu anafikiri tunafanya mashala naomba tukutanae tarehe 28/10/2020 tuwafundishe hawa jamaa kwanini mtoto hakui kwa baba ba mama.
Haa haa Gwappo Mwakatobe, HAPANA, sikujui na hunijui mkubwa...
Kama haiwezekani kuiweka hapa kwa manufaa ya wote, basi acha ipite...
Hizi ni nyakati za hatari. Usimwamini yeyote. Mwamini Mungu muumba peke yake...!
Wizi wa kura ni reference nzuri??reference nzuri kwa hili ni uchaguzi wa serikali za mitaa