kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,305
- 12,600
Uchambuzi ule wa mzee Kashsha RIP na Ally Mayai Tembele unazimgatia weledi, unafurahishisha kila mtu. Lakini baadhi ya wachambuzi wanawatia hasara wenye chombo Cha habari. Wakati huu ligi inaelekea ukingoni wakati timu zinafanya tathimini zao hata wachambuzi wa mpira na wamiliki wa vyombo vya habari wafanye tathimini pia kujiandaa na msimu mwingine.
Tenganisha kati ya kazi na ushabiki wako wa timu kwenye chombo cha habari cha mtu. SEMA ukweli wote usiseme utabiri na ndoto zako kwenda kwa wasikilizaji kwasababu tu unayo fursa ya kwenda hewani.
Kuna magazeti na radio ambazo hata iweje sisomi Wala kusikiliza uchambuzi wao. Wao wanakaa upande wa kushoto mwa barabara litoke jua inyeshe mvua. Waoneeni huruma wenye vyombo vyao vya hanari.
Mfano, mchambuzi anaposema Eng. Hersi hafai kuwa kiongozi wa Yanga, ametumia kigezo gani? ana uhakika gani hataweza? je, wale wanamuona anaweza anajua wako wangapi na ni akina nani? Je, hajui Hersi amefanya nini huko Yanga kwa maslahi ya Yanga?
Tenganisha kati ya kazi na ushabiki wako wa timu kwenye chombo cha habari cha mtu. SEMA ukweli wote usiseme utabiri na ndoto zako kwenda kwa wasikilizaji kwasababu tu unayo fursa ya kwenda hewani.
Kuna magazeti na radio ambazo hata iweje sisomi Wala kusikiliza uchambuzi wao. Wao wanakaa upande wa kushoto mwa barabara litoke jua inyeshe mvua. Waoneeni huruma wenye vyombo vyao vya hanari.
Mfano, mchambuzi anaposema Eng. Hersi hafai kuwa kiongozi wa Yanga, ametumia kigezo gani? ana uhakika gani hataweza? je, wale wanamuona anaweza anajua wako wangapi na ni akina nani? Je, hajui Hersi amefanya nini huko Yanga kwa maslahi ya Yanga?