Rudia tena kuangalia uone nani alikuwa offside positionBaada ya Golikipa "kuutema" ule mpira, ulianguka kwa Yannick Bangala.
Bangala alimpa pasi (assist) Fiston Mayele ambaye alikua kwenye eneo la kuotea.
Hivyo incidence ile ni offside.
Kwa sababu binadamu tumeumbiwa kusahau, teknolojia ina tabia ya kutukumbusha.
Tazama hapa...
Ni moloko ww
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app