deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau, kwa siku nyingi nimekuwa msikilizaji wa radio na kutazama Tv kumekuwepo wachambuzi wa mambo mbalimbali huitwa kutoa uchambuzi wao. Je hulipwa na vyombo hivyo?
Ni mueledi sana wa mashariki ya kati hua napenda kumsilikiza akichambua habari za hukoSijui ni Bure au ni hela hupewa
Labda tumuulize mohamedi Issa Wa morogoro mchambuzi Wa maswala ya mashariki ya kati beberu broadcasting coperation(BBC) humtumia sana.
Inawezekana hilo.If u are good at something,never do it for free.
Sijui ni Bure au ni hela hupewa
Labda tumuulize mohamedi Issa Wa morogoro mchambuzi Wa maswala ya mashariki ya kati beberu broadcasting coperation(BBC) humtumia sana.
Hakika mkuu.Ni mueledi sana wa mashariki ya kati hua napenda kumsilikiza akichambua habari za huko
Startimes nilishaonaga wameandaa mashindano yakuwatafuta watia sauti za kiswahili katika tamthilia zao sijajua kuhusu Azam utaratibu wao upojeNi natafuta koneksheni ya kutafsiri tamthilia AZAM TV au star time naomba alie karibu na hizi vyombo aniunganishe.
Maelekezo ni njia zipi nipitie kufanikisha huu mchakato,elimu yangu ni darasa LA saba,kabila mtanzania.
Ikitokea tena usisite kutoa taarifa mkuu.Startimes nilishaonaga wameandaa mashindano yakuwatafuta watia sauti zakiswahili ktk tamthilia zao cjajua kuhusu Azam utaratibu wao upoje