Wachambuzi huyu msajili amepona??

IMG-20170612-WA0030.jpg
 
Tareh 29 may 2016 ndo alijibu barua ya barick gold ilioandikwa tareh 4 may 2016. Au mimi ndo sijaelewa!
 
Halafu aliyeleta huu utaratibu wa kubadilisha majina ya kampuni ili kukwepa kodi atafutwe ili Tumpeleke uwanja wa uhuru tumpige mawe mpaka ageuke vumbi
 
Aisee naona kabisa kulikuwa na hoja ya msingi kwa MD wa ACCACIA KUKIMBIA KAZI NA NAONA WALIBWETEKA na kuacha kuisajili kampuni sasa akivyoshtukiwa ndo akaanza kujitahidi kuhusu registration
 
Barua inenyofolewa kwenye fail lakin ajabu haina folio namba wala mhuri either wa day of received au kama ni ya kutuma basi official stamp iwepo ila hapo hahhaha
 
Back
Top Bottom