Wachagga wanaiba na kukopa ili wafanye biashara, sisi tunaiba na kukopa ili tufanye sherehe.

Maisha ni kwa ajili ya nafsi. Na kwa kuwa maisha ni mafupi kwann nijitese kwa kujinyima halafu niwekeze wajanja wanakuja kujipigia kiulainiiiii.

Marehemu Mengi si ameacha matirioni, yanamsaidia nn?

Maisha ni leo na kwa ajili ya mtafutaji tu.
 
Mkuu umekurupukia kutoka chimbo la wapi leo maana siyo michapio hiyo kwenye kichwa cha habari. Au mning'inio wa chang'aa
 
Back
Top Bottom