masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Hebu kina, massawe, kimario, mushi, mosha,mwasha na Moshi mnijuze kwa nini misiba yenu mnapenda mipango ifanyie eneo la bar?
Sikiliza itv, redio one na utashangaa, wachagga wa massama,au mamba au mashati mipango ya mazishi inafanyika bar fulani jijini Dsm au kwingineko, kwa nini?(badala ya nyumbani kwa marehemu)
Sikiliza itv, redio one na utashangaa, wachagga wa massama,au mamba au mashati mipango ya mazishi inafanyika bar fulani jijini Dsm au kwingineko, kwa nini?(badala ya nyumbani kwa marehemu)