Wachaga mnijuze, sijawahi kusikia uchawi kutoka kwenu

Galadudu

JF-Expert Member
Jun 23, 2014
2,305
772
Tangu nizaliwe na nikaanza kupata ufahamu na uelewa wa mambo mbalimbali hususani haya mambo ya sayansi ya gizani (uchawi) sijawahi kabisa kusikia wachaga wanahusishwa na hayo mambo.

Japo kuna makabila yanasifiwa sana kwa hayo mambo na kuna makabila mengine yanatajwa tajwa kama tetesi tu vile, Lakini narudia tena sijawahi kusikia kina meku wanahusishwa.

Sasa ndio niko hapa ili wanijuze huko kwao hivo vitu wanavichukuliaje?
 
Tunaogopa uchawi sana. Kama ni kisasi, tunafanya live. Kama ni kazi, tunaifanya kwa bidii na mafanikio yanakuja. Kutumia uchawi ni ishara ya uoga, na udhaifu.
 
mama yangu mdogo ameolewa na mchagga hapo kibaha mtoto wa pili waliharibu hadi nikawasusa sijaenda kwao mpaka leo hii sijui ushahidi gani unataka

Atakua na matatizo ya akili huyo mana mengine yana rithiwa wala hayahusiki na kabila lolote ni matatizo tu
 
mkuu umewachokoza ngoja waje kina massawe!!

we chalii ni ---- xana,kama hujui kitu kausha siyo lazima uandike,unakurupuka utakuja pasuliwa yai au wewe ndiyo ndondocha mwenyewe,watu tunapiga mzigo,ukizingua ngiki kaba kyandu! Ngashtuka chalii
 
mama yangu mdogo ameolewa na mchagga hapo kibaha mtoto wa pili waliharibu hadi nikawasusa sijaenda kwao mpaka leo hii sijui ushahidi gani unataka

mama yako mdogo ndiye aliyemfanya mwanae ndondocha na una bahat ulikimbia ungetolewa wewe, si ndo tabia yenu watu wa nyanda za juu kusin! Bado huo siyo ushahidi wangekuwa wameoana wote wachaga halafu ikawa hivyo xawa bt si kwa mchanganyiko na hilo kabila lenu la wachawi mama yako mdogo mchawi tena inabidi hiyo ndoa ivunjwe kabisa,unatuletea mkosi kilimanjaro
 
mkuu umewachokoza ngoja waje kina massawe!!

we chalii ni ---- xana,kama hujui kitu kausha siyo lazima uandike,unakurupuka utakuja pasuliwa yai au wewe ndiyo ndondocha mwenyewe,watu tunapiga mzigo,ukizingua ngiki kaba kyandu! Ngashtuka chalii
 
hawa watu ni wachawi wa biashara nawafananisha na wahindi na wahindi hawako mbali na nguvu za giza sasa hawa wenzetu sina uhakika sana kwenye biashara ila kwenye mapenzi haina ubishi ukidakwa hufurukuti unakuwa zuzu!
 
mama yangu mdogo ameolewa na mchagga hapo kibaha mtoto wa pili waliharibu hadi nikawasusa sijaenda kwao mpaka leo hii sijui ushahidi gani unataka

Mkuu sitetei mtu lkn nataka kuelewa zaid ; kwamba wakati wanamwaribu kupitia huko kwa wachawi walikushirikisha ama ilikuaje ukajua hilo?
Lkn pia najiuliza watoto wote ndondocha wanatokana na uchawi mkuu ama ww ndo tafsiri yako binafs? vp kama na ww ukazaa mtoto abnormal tukuchukulie na ww mchawi?
 
Ukitaka kujua kama wachaga ni wachawi hebu angalia macho ya Dj Mbowe yalivyo utagundua kitu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom