Wachaga kwanini mnapenda kunyang'anya watoto kwa mama zao?

trudie

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
3,335
7,662
Heri ya sikukuu ya Idd kwa ndugu zangu waislamu wote na wanaJF kwa ujumla.

Niende kwenye mada husika ndugu zangu wachaga kwanini mnapenda sana kunyang'anya watoto hata wakiwa wachanga kwa mama zao pale inapotokea mahusiano yamefeli?
Nina mifano kadhaa juu ya hilo mama mmoja alichukuliwa mtoto wake wa miezi mitano tena bila huruma kabisa.

Mwingine alimfumania mume wake mara kadhaa akaamua kuondoka ndugu wa kichaga wakajikusanya kwenda kuchukua mtoto wakati ni mdogo anayenyonya.
Mfano mwingine pia kuna huyo dada alishindwana na mchumba wake wa kichaga wakataka kumchukua mtoto wa miezi 4 yaani wapo tayari kumnyima mtoto haki yake ya kunyonya sababu ya ubinafsi wao.

Je ni kwamba hawana huruma juu ya viumbe hao wadogo kuwatenganisha na mama zao wakiwa wazima au ni nini shida maana kama kuachana kwa wazazi mtoto inabidi asihusishwe akae na mama mpaka akimaliza kunyonya ndio utaratibu ufwate kwa makubaliano na sio kumkosesha mtoto haki zake.
 
Heri ya sikukuu ya Idd kwa ndugu zangu waislamu wote na wanaJF kwa ujumla.

Niende kwenye mada husika ndugu zangu wachaga kwanini mnapenda sana kunyang'anya watoto hata wakiwa wachanga kwa mama zao pale inapotokea mahusiano yamefeli?
Nina mifano kadhaa juu ya hilo mama mmoja alichukuliwa mtoto wake wa miezi mitano tena bila huruma kabisa.

Mwingine alimfumania mume wake mara kadhaa akaamua kuondoka ndugu wa kichaga wakajikusanya kwenda kuchukua mtoto wakati ni mdogo anayenyonya.
Mfano mwingine pia kuna huyo dada alishindwana na mchumba wake wa kichaga wakataka kumchukua mtoto wa miezi 4 yaani wapo tayari kumnyima mtoto haki yake ya kunyonya sababu ya ubinafsi wao.

Je ni kwamba hawana huruma juu ya viumbe hao wadogo kuwatenganisha na mama zao wakiwa wazima au ni nini shida maana kama kuachana kwa wazazi mtoto inabidi asihusishwe akae na mama mpaka akimaliza kunyonya ndio utaratibu ufwate kwa makubaliano na sio kumkosesha mtoto haki zake.
Sioi mchaga
 
Heri ya sikukuu ya Idd kwa ndugu zangu waislamu wote na wanaJF kwa ujumla.

Niende kwenye mada husika ndugu zangu wachaga kwanini mnapenda sana kunyang'anya watoto hata wakiwa wachanga kwa mama zao pale inapotokea mahusiano yamefeli?
Nina mifano kadhaa juu ya hilo mama mmoja alichukuliwa mtoto wake wa miezi mitano tena bila huruma kabisa.

Mwingine alimfumania mume wake mara kadhaa akaamua kuondoka ndugu wa kichaga wakajikusanya kwenda kuchukua mtoto wakati ni mdogo anayenyonya.
Mfano mwingine pia kuna huyo dada alishindwana na mchumba wake wa kichaga wakataka kumchukua mtoto wa miezi 4 yaani wapo tayari kumnyima mtoto haki yake ya kunyonya sababu ya ubinafsi wao.

Je ni kwamba hawana huruma juu ya viumbe hao wadogo kuwatenganisha na mama zao wakiwa wazima au ni nini shida maana kama kuachana kwa wazazi mtoto inabidi asihusishwe akae na mama mpaka akimaliza kunyonya ndio utaratibu ufwate kwa makubaliano na sio kumkosesha mtoto haki zake.
Kaa ukijuwa wachaga ndip binadamu pekee ambao hawakatai watoto,yaani ukimwambia umezaa naye tuu basi ujue mtoto ni wake
 
Kaa ukijuwa wachaga ndip binadamu pekee ambao hawakatai watoto,yaani ukimwambia umezaa naye tuu basi ujue mtoto ni wake
Ni kweli kabisa wachaga hawakatai watoto wao. Ila mimi kinachonipa shida ni kwanini wanachukua watoto wakiwa wachanga kabisa kwa maa zao pale mnapoachana??Hawajui haki za watoto inabidi wanyonye mpaka umri gani na pia wakae na mama kama yupo vizuri mpaka umri upi?
 
ukatili wao
Halafu wakishawachukua wanakwenda kuwatelekeza huko vijijini na bibi zao, watoto wanakuwa kama mayatima.
ndio huwa UKATILI WAO unaanzia hapa, kukua pasipo malezi a baba wala mama, unategemea huyu mtoto akikua atakua na huruma?? atakua na upole? Atakua baba/mama bora wa familia? Atajali watoto wake? Their CRUELTY is engineered during chilhood.
 
ukatili wao

ndio huwa UKATILI WAO unaanzia hapa, kukua pasipo malezi a baba wala mama, unategemea huyu mtoto akikua atakua na huruma?? atakua na upole? Atakua baba/mama bora wa familia? Atajali watoto wake? Their CRUELTY is engineered during chilhood.
Uko veeeeery right, watoto wanaokulia mazingira ya hivyo huwa wako very cruel.
 
Back
Top Bottom