ni noooooma!
Halafu wameshika mashine za ukweli..... hivi kwanini askari wetu wa kike huwa hawashiki silaha? Au nyie mlishawahi kuona?
Huyu anaweza kunizuia kweli?
Kukuzuia vipi?
Hawa si ndo kama wale walioambiwa "watupige tu"?
Hahaha hao wanaweza kukupa kichapo hadi ukatoa machozi lol
Mmmh haya ,sasa hili jeshi la nini?
Au la Ma-doctors ???!!
Yaani wa kwetu wangekuwa hivi mimi kila siku ni kuandamana tu nakuvunja sheria kwa sanaaa ili waje kunizuia. Hadi raha!