Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Nimeridhishwa sana na umoja ulioonyueshwa na wapinzani kwa pamoja kuinuka na kutoka,nashindwa kuelewa mawasiliano yamefanyikaje au ilikuwa tu swala la nafsi ya kila mmoja,,mtu mmoja aniweke sawa,,Cheyo,Mrema na Mbatia kweli walitoka nje nao?