Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Nimesoma kwenye gazeti moja likisema Wabunge wote wa CHADEMA kuhamia Arumeru Mashariki kwa kambeni. Aidha taarifa imeendelea kusema kuwa hata Mkutano mkuu wa CHADEMA uliokuwa ufanyke umeahirishwa.
Nini tafsiri ya hili? SIYOI ni tishio? au CHADEMA wamekwisa sasa wanatapatapa?
Nini tafsiri ya hili? SIYOI ni tishio? au CHADEMA wamekwisa sasa wanatapatapa?