Wabunge wote wa CCM wameitwa dharura kikao cha DOWANS kesho

wabunge tumewaamini tukawachagua kutetea maslahi ya majimbo yenu na watanzania kwa ujumla ikiwemo kutolea ufafanuzi suala la dowans. Ninawaomba msitusaliti jamani msiingie mtego wa collective responsibility kwani hiyo ni dhambi na kumbukeni kwamba mungu hatawahukumu collectively bali kwa uamuzi utakaofanya binafsi wa kuamua kuunga mkono ufisadi na kujichafua kwa kukitetea chama. Kumbukeni kusimama kwenu kidete kama alivyofanya mh. Anne kilango wakati wa richmond ina dhawabu kubwa mbinguni na pia kwa wapiga kura wako.
Chondechonde nendeni dodoma mkiwa na hofu ya mungu na mkumbuke matokeo ya dhambi ya dowans yatakapoanza kuadhiri uchumi wa tanzania na kuongeza vifo vya maskini wasio na hatia hamtakwepa hukumu ya mungu. Simameni imara mjue walioko upande wenu ni wengi kuliko walio kinyume nanyi.

Mungu awape ujasiri na udhubutu wa kusimamia haki kwa mustakabali wa nchi yetu na maendeleo ya wapiga kura wenu. Kukubali kughilibiwa ni kupoteza credibility kama mwakilishi wa wananchi.

agreed!!!! & suppported!!
 
Iam sick again!...The way i know ccm MPs watakubali bila hata kuhoji!...Ingekuwa Kenya ndio ungeona ngumi au watu kujiuzulu leo!
 
ccm hakuna msafi hata mmoja. Habari hii inahuzinisha lakini ndio hali halisi.

Wananchi, wapiganaji na raia wema wasitishwe wala kukatishwa tamaa na hilo. Hao wabunge ni chini ya asilimia 0.00000625 ya wananchi 40m, na ni chini ya asilimia 0.000012 ya walioandikwa kupiga kura kwa mujibu wa NEC (sic). Hivyo wenye kupinga ufisadi na malipo ya Dowans miongoni mwa wananchi ni wengi sana. Shime tuwaendee hao wenye nchi, tuwaelimishe, tuombe shime yao watuunge mkono then we'll nulify CCM and it's evil.
 
Iko kama vile Kikwete na CCM hawana mawasiliano na reality. Laikani tusubiri, tutaona na kusikia mengi hivi karibuni.
 
Wangekuwa wamewaita ili wachangishane walipe hilo deni ningeowaona wa maana, vinginevyo nasikia hasira tu hapa, najuta hata kujua jambo hili!!
 
Wabunge tumewaamini tukawachagua kutetea maslahi ya majimbo yenu na watanzania kwa ujumla ikiwemo kutolea ufafanuzi suala la DOWANs. Ninawaomba MSITUSALITI JAMANI msiingie mtego wa collective responsibility kwani hiyo ni DHAMBI na kumbukeni kwamba Mungu hatawahukumu collectively bali kwa uamuzi utakaofanya binafsi wa kuamua kuunga mkono UFISADI na kujichafua kwa kukitetea chama. Kumbukeni kusimama kwenu kidete kama alivyofanya Mh. Anne Kilango wakati wa Richmond ina dhawabu kubwa Mbinguni na pia kwa wapiga kura wako.
Chondechonde nendeni Dodoma mkiwa na hofu ya Mungu na mkumbuke matokeo ya dhambi ya DOWANS yatakapoanza kuadhiri uchumi wa Tanzania na kuongeza vifo vya maskini wasio na hatia hamtakwepa hukumu ya MUngu. Simameni Imara mjue walioko upande wenu ni wengi kuliko walio kinyume nanyi.

Mungu awape ujasiri na udhubutu wa kusimamia haki kwa mustakabali wa nchi yetu na maendeleo ya wapiga kura wenu. Kukubali kughilibiwa ni kupoteza credibility kama mwakilishi wa wananchi.

usitarajie muujiza wa wabunge wa ccm kutanguliza utaifa wakati walichaguliwa kwa kutumia mitaji mikubwa sasa ni muda wa kurejesha pesa zao. Mie nashukuru my MP is Wenje from Chadema.
 
Kwa wabunge wa CCM utaifa nyuma CCM na maslahi yake ya kiufisadi mbele
 
Moto ulio huku mitaani wanaujua, kama wako sawasawa wajaribu kuhongana, labda wale wa viti maalum- hao ni rahisi kurubuniwa kwani basically hawawakilishi jimbo lolote; kama ni wa ccm anawakilisha ccm hivyo hawezi kuipinga; lakini anayewakilisha jimbo akija lazima tumuulize hata kama ni katika vijiwe visivyo rasmi.
 
najisikia kuwa "suicide bomber" niingie kwenye hicho kikao nijilipue nao wafe wote, Eee Mwenyezi Mungu nipe subira
 
Mi naomba wabunge wa upinzani wajipange vizuri kushupalia jambo la Dowans hata kama wakishindwa kwa wingi wa ule wa CCM wakatakuwa wamewaha moto kwa wananchi kama ilivyokuwa kwa Buzwagi wakati wa Zitto. Hata waliokuwa vipofu miongoni mwa wananchi wataona. Halafu vita itahamia mahali pengine say mahakamani au hata huko kwenye majimbo yao kwa njia ya mikutano na maandamano.
 
Chama chetu kipenzi cha CUF mnatuweka katika hali ya kutoeleweka kwa wenzetu huku mitaani.

Tuambieni tuelewe kwamba suala hili malipo ya Dowans tunaiunga mkono hivo hivo bila kujali hali inayoendelea nchini mwetu hapa kisiasa na kwa hasira za wananchi au?
 
Iko kama vile Kikwete na CCM hawana mawasiliano na reality. Laikani tusubiri, tutaona na kusikia mengi hivi karibuni.
WAnayo sana isipokua kwa sasa hivi CCM inatafuta hiyo hela kufa na kupona lakini si kwa ajili ya lengo la hapo awali.

Tetezi nyeti jikoni ni kwamba hiyo hela sasa imepangwa kwenda kunnulia silaha na kuwakabidhi lile jeshi lisilo rasmi la Green Guard kudhibiti wapinza nchini. Habari ndiyo hiyo, wenye kuendelea kusubiri mpaka kuona kwa macho sawa.

Wazo hilo limebuniwa mara baada ya mauaji ya jeshi rasmi la polisi kuua na kulitia doa serikali ya CCM. 'Mungiki' wa CCM iko njiani kukabidhiwa silaha kuua raia kwa kisingizio cha majambazi.

Kwamujibu wa chanzo hicho, hali ni tete mno ndani ya CCM na kwamba hatua ya mwisho kujaribu kukiokoa ni kwa mauaji ya baadhi ya sauti binzani ndani na nje ya ccm.

Maoni yangu ni kwamba CUF tuungane na wenzetu wa vyama vingine kutetea viongozi wetu mapema.
 
Safi sana, Waache waende kuambukizana ujinga,....Maana vijana huko MTIMBILIMBWI nao wanapa habari kupitia Gazeti la Mwanahalisi,..Wanalia sana Matofali yao yananyeshewa baada ya ndoto yao ya kununua cement 5000Tshs na Bati 6000 kuchakachuliwa.
 
Collective responsibility only applies to Cabinet ministers and junior ministers/ Parliamentary secretaries. It does not extend to backbenchers. Haya ni mabaki ya ki communist. CCM itajinyonga kwa huu ujinga wake.
 
Back
Top Bottom