Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,608
- 1,743
Kama tuonavyo muungano wa vyama vya upinzani umevalia njuga ubadhirifu wa fedha za walala hoi,kama ni kupotea kwa fedha nyingi kwa matumizi yasiyojulikana basi hata Bunge linakula fedha tena nyingi sana kuliko hata hizo zilizopotea BOT.
Ushirika wa wapinzani ulikuwa uwe wa kwanza kupinga posho ,kiwango cha mshahara na kiinua mgongo baada ya kumaliza awamu ya miaka mitano.
Hebu mliopo Ulaya tuulizieni mbunge au mwakilishi anapokea kiasi gani kwa mwezi,halafu turudi na hessabu za wabunge wetu wanaopiga makofi na kugonga meza,ambao kazi yao kubwa ni kuzungumzia maambukizo ya ukimwi,mambo yao vichekesho vitupu,yaani hata mtu hahusiki na wizara ya afya anakwenda kuzungumzia mambo ya ukimwi huu kama si wizi wa kimacho macho ni kitu gani ?
Ushirika wa wapinzani ulikuwa uwe wa kwanza kupinga posho ,kiwango cha mshahara na kiinua mgongo baada ya kumaliza awamu ya miaka mitano.
Hebu mliopo Ulaya tuulizieni mbunge au mwakilishi anapokea kiasi gani kwa mwezi,halafu turudi na hessabu za wabunge wetu wanaopiga makofi na kugonga meza,ambao kazi yao kubwa ni kuzungumzia maambukizo ya ukimwi,mambo yao vichekesho vitupu,yaani hata mtu hahusiki na wizara ya afya anakwenda kuzungumzia mambo ya ukimwi huu kama si wizi wa kimacho macho ni kitu gani ?