Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Hivi huyu mdudu ilipitaje bungeni.... Gharama kupitishwa kwa 1,400% bila mtu kuhoji?
Je Wabunge wetu wanajua kusoma? Lazima mtu angehoji kama kweli wanafanya kazi tunazowatuma kufanya. Bunge letu sasa siyo tu kituko ,bali halifahi kama wanaweza kupitisha madudu kama haya hapa chini
This is shameful. Shame on our MPS
Je Wabunge wetu wanajua kusoma? Lazima mtu angehoji kama kweli wanafanya kazi tunazowatuma kufanya. Bunge letu sasa siyo tu kituko ,bali halifahi kama wanaweza kupitisha madudu kama haya hapa chini
This is shameful. Shame on our MPS
By CCM-MAMA
Bunge ilipitisha kwamba wale wote wanaorenew road licence lazima walipie huduma ya moto. Hapo mwanzoni hii huduma ya moto ilikuwa Tsh 3,000/ leo hii hiyo huduma imepanda kuanzia Tsh 40,000/ kwenda juu.
Sasa hii huduma ya moto iliyopitishwa na bunge ni la nini wakati hatuna hata zima moto moja kwenye maeneo nyeti kama airport. huu mrani ni wa nani na kwa nini. TRA inatumaliza na kodi zinazowanufaisha mafisadi.
Bunge mko wapi?