Wabunge wetu na professionalism (mbunge stella manyanya ana kesi ya kujibu)

POSHO MAVYEO

JF-Expert Member
Jun 28, 2011
371
112
Leo katika mbunge pamoja na shutuma mbalimbali , ndg stella manyanya kama mbunde alisema amekuwa anapata message za simu na baada ya kufuatili amegundua zinatoka kwa mke/mchumba wa dr slaa

1. kwanza hii hoja inawasaidia nini wanajimbo lake?
2. Ana toa ishara gani kwa majimbo yatakayogombewa na wanawake 2015?
3. Kwa nini ametumia muda wa serikali na kodi ya wananchi kueleweza mambo yake binafsi alivyo na migogoro na watu, je hii
sio matumizi mabaya ya ofisi? maana aliye mtuhumu (josephina) anauwezo wa kuongea bungeni kwa nini hakutumia
mahakama?

mwisho natoa raia kwa watanzania wakati wa katiba mpya tutoe maoni na mimi moja ya maoni nitayotoa ni kuhusu mipaka ya mambo wabunge wanapashwa kuonyea, wabunge kutumia bunge kutoa mambo yao binafsi badala ya hoja za kiwakishi (kuwakilisha majimbo) sasa umekuwa mchezo wa kawaidi.
sasa imefika wakati mbunge anapoongea mambo akiwa mazingira ya kibunge aongee kama mbunge ndio maana hata waziri mkuu anaweza kuhuzwa kitu bunge akajibu kwa kusema HATA NYIE mnaona donge, hizo ni personal attack kwenye hoja yenye msingi kitaifa.

kwa waokumbuka mwaka jana waziri mkuu wa uingereza bwana Gordon Brown ilimghalimu kufunga safari kwenda kuomba radhi kwa mama moja kwa kauli yake mbovu mbovu.

huu ni wakati wa viongozi kuwa kama viongozi (pofesional) na sio kama wapiga debe.
mchezaji wa LIVERPOOR (BEBAL) alipigwa faini mwaka huu kwa kujiingiza kwenye maongizi ya washabika zidi ya refa na kutoa unfair comment hali akijua kwa STATUS yake alipaswa kuwakilisha malalamiko yake kwa kutumia kanuni.

Taifa sasa limekosa sura ya taaluma kila mtu ana kuwa mropokaji hata wanatunga sheria sasa wameingia kwenye mambo yasiyo na staa kwa lengo la kudhoofisha siasa za wana harakati kumekuwa na misemo yakijinga ambayo imekuwa ikitumia pia na wanasiasa wa kenya pale wanapokosa hoja badala ya kukubali watasema UNATAFUTA UMAARUFU kwa wananchi.



Professionalism is the adherence to a set of values comprising statutory professional obligations, formally agreed codes of conduct, and the informal expectations of patients and colleagues.
 
Leo katika bunge pamoja na shutuma mbalimbali , ndg stella manyanya kama mbunge alisema amekuwa anapata message za simu na baada ya kufuatilia amegundua zinatoka kwa mke/mchumba wa dr slaa 1. kwanza hii hoja inawasaidia nini wanajimbo lake? 2. Ana toa ishara gani kwa majimbo yatakayogombewa na wanawake 2015? 3. Kwa nini ametumia muda wa serikali na kodi ya wananchi kueleweza mambo yake binafsi alivyo na migogoro na watu, je hii sio matumizi mabaya ya ofisi? maana aliye mtuhumu (josephina) anauwezo wa kuongea bungeni kwa nini hakutumia mahakama? mwisho natoa raia kwa watanzania wakati wa katiba mpya tutoe maoni na mimi moja ya maoni nitakao toa ni kuhusu mipaka ya mambo wabunge wanapaswa kuonea, wabunge kutumia bunge kutoa mambo yao binafsi badala ya hoja za kiwakilishi (kuwakilisha majimbo) sasa umekuwa mchezo wa kawaida. sasa imefika wakati mbunge anapoongea mambo akiwa mazingira ya bunge aongee kama mbunge ndio maana hata waziri mkuu anaweza kuulizwa kitu bungeni akajibu kwa kusema HATA NYINGI mnaona donge, hizo ni personal attack kwenye hoja yenye msingi kitaifa.kwa wanaokumbuka mwaka jana waziri mkuu zamani wa Uingereza bwana Gordon Brown ilimghalimu kufunga safari kwenda kuomba radhi kwa mama moja kwa kauli yake mbovu mbovu. huu ni wakati wa viongozi kuwa kama viongozi (pofesional) na sio kama wapiga debe.mchezaji wa LIVERPOOR (BEBAL) alipigwa faini mwaka huu kwa kujiingiza kwenye maongezi ya washabiki dhidi ya refa na kutoa unfair comment hali akijua kwa STATUS yake alipaswa kuwakilisha malalamiko yake kwa kutumia kanuni.Taifa sasa limekosa sura ya taaluma kila mtu ana kuwa mropokaji hata wanatunga sheria sasa wameingia kwenye mambo yasio na staa kwa lengo la kudhoofisha siasa za wana harakati kumekuwa na misemo yakijinga ambayo imekuwa ikitumia pia na wanasiasa wa kenya pale wanapokosa hoja badala ya kukubali watasema UNATAFUTA UMAARUFU kwa wananchi.Professionalism is the adherence to a set of values comprising statutory professional obligations, formally agreed codes of conduct, and the informal expectations of patients and colleagues.
Mkuu unatakiwa ujifunze kwanza humu JF, sio kukurupuka na Thread kama hii kwanza jifunze matumizi ya herufi kubwa na ndogo, bahati nzuri wewe ni Pro-CDM, ungekuwa Magamba ungejuta na huu upupu wako
 
Mkuu unatakiwa ujifunze kwanza humu JF, sio kukurupuka na Thread kama hii kwanza jifunze matumizi ya herufi kubwa na ndogo, bahati nzuri wewe ni Pro-CDM, ungekuwa Magamba ungejuta na huu upupu wako


huo ni msisitizo hapo kwenye herufi kubwa


Nakusaidia unaleta ujeuri haya! Karibu sana Jf

kama unataka kunikaribisha jamii forum nenda jukwaa la kujitambulisha nimeweka post yangu huko.
hacha utoto kwa kusoma post zako kabla ya kujiunga,

kuna siku moja nilikuwa napitia mwanangu akaja kwenye laplato aliposoma comment zake
akaniuliza hivi baba watu kama wako uhuru au ni mfungwa kaambia hafanye hizi ili apunguziwe miaka

mbaya zaidi ni AVATAR yako alisema kwenye mtu ufanana na mambo yake
 
huo ni msisitizo hapo kwenye herufi kubwa kama unataka kunikaribisha jamii forum nenda jukwaa la kujitambulisha nimeweka post yangu huko.hacha utoto kwa kusoma post zako kabla ya kujiunga,kuna siku moja nilikuwa napitia mwanangu akaja kwenye laptop aliposoma comment zakoakaniuliza hivi baba watu kama wako uhuru au ni mfungwa kaambiwa afanye hivi ili apunguziwe miakambaya zaidi ni AVATAR yako alisema kwenye mtu ufanana na mambo yake
Nimekusaidie tena, jifunze unapoanza kuandika posta anza na herufi kubwa sawa dogo
 
Sijui umengundua nachokusaidia? Posts zako na thread yako unakosea kuandika kiswahili mimi nachofanya kukusaidia ku-Edit
 
Sijui umengundua nachokusaidia? Posts zako na thread yako unakosea kuandika kiswahili mimi nachofanya kukusaidia ku-Edit

shukurani sasa unasemaje kuhusiana na hoja baada ya ku-edit
kwa kuwa umeweza ku edit ina maana umeelewa vizuri
 
ni kweli tunaitaji code of practise kwa viongozi wetu hasa wanapojibu maswali muhimu kuhusu umma
kama wanapasuka au kuweka vitu vya kishabiki au binafsi wawajibishwe nchi nyingi zinafanya hivyo
 
Back
Top Bottom