Mbona Spika amekuja juu baada ya kupigwa maswali badala ya kufurahi kwamba chombo cha habari kimesaidia kuonyesha udhaifu wa Wabunge wa Kamati hiyo? Huyu naye haeleweki. Kuhusu wabunge kupewa mshiko. Hili li nchi kila mtu anahomoa kulingana na kazi yake. Hii ndiyo dira ya maendeleo ya CCM. Acha wahomoe wakati ni huu!!