Hii nimeipenda sana.
'Miongoni mwa waliokataa mwaliko na hundi hizo ni Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema). Nakuhakikishia kuwa sikupokea, mimi ni masikini jeuri, nilikataa kwenda kwa sababu nilijua ni masuala ya rushwa, amesema Mdee'.
Simple logic:
Kama lissu ni mjumbe wa kamati na hakutajwa kuwa miongoni mwa waliokataa rushwa basi lisu .......................rushwa.
Halafu, hivi kwanini Wahindi wanapenda sana kutoa toa rushwa? Mimi nafikiri kwasababu ni wezi wa kila kitu, wanahamisha mapato kupeleka nje, na ndio maana wanashikia bango suala la uraia wa nchi 2 au zaidi waruhusiwe ili iwe rahisi kwao kusepa.
Aiseee babaangu huyu jamaa ndie anamiliki ile timu inayovaa jezi zi njano kama za magamba
Huyu atakuwa ni Manji tu hakuna mwengine, kwanini huyu Manji hakamatwi su ndio Serikali ya kulinda na Mr dhaifu
Maskini Yanga yetu!
Hii sentensi umeielewaye?
Mfanyabiashara mwenye asili ya Kiasia amewahonga wabunge kadhaa wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, JAMHURI imethibitishiwa.
Huyo mfanyabiashara ni mwenyekiti wa moja ya klabu kongwe ya mpira wa miguu. Tusubiri rafu na rushwa itakayo itikisa soka la Tanzania hivi karibuni.